Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Maombi yangu maalum ni kwa Lethoso kupata ushindi mnono wa goli 3 bila kesho dhidi ya Cape Verde.
Kama Lethoso atapata pointi 3 zote kesho na timu ya wema sepetu na bashite ikapigwa 2 bashite na Uganda ntafurahi sana.
Sina sababu ya uwatakia ushindi timu ya bashite maana itakua ni kupoteza muda maana huko mbele watapigwa 7 itakua aibu, bora watoke sasa tufanye mambo mengine kuliko kuna kujichotea zigo la aibu huko mbele.
Username yako inaonyesha wewe ni praise team, zero brain. Sina sababu tena ya kujadiliana na wewe.Wewe sio mwanadamu wa kawaida, yawezekana ulikimbia milembe kabla hujamaliza dozi. Ni heri tufuzu tukafungwe Misri kuliko kutofuzu. Upuuzi wa aina hii, usiupost hadharani tukafahamu kiwango chako cha ujinga, , jisemee kimoyomoyo
Naunga mkono hojaMaombi yangu maalum ni kwa Lethoso kupata ushindi mnono wa goli 3 bila kesho dhidi ya Cape Verde.
Kama Lethoso atapata pointi 3 zote kesho na timu ya wema sepetu na bashite ikapigwa 2 bashite na Uganda ntafurahi sana.
Sina sababu ya uwatakia ushindi timu ya bashite maana itakua ni kupoteza muda maana huko mbele watapigwa 7 itakua aibu, bora watoke sasa tufanye mambo mengine kuliko kuna kujichotea zigo la aibu huko mbele.
Kama hata kuandika tu neno Lesotho inakushinda unadhani unaweza fanikiwa maombi yako?.Maombi yangu maalum ni kwa Lethoso kupata ushindi mnono wa goli 3 bila kesho dhidi ya Cape Verde.
Kama Lethoso atapata pointi 3 zote kesho na timu ya wema sepetu na bashite ikapigwa 2 bashite na Uganda ntafurahi sana.
Sina sababu ya uwatakia ushindi timu ya bashite maana itakua ni kupoteza muda maana huko mbele watapigwa 7 itakua aibu, bora watoke sasa tufanye mambo mengine kuliko kuna kujichotea zigo la aibu huko mbele.
Wakishinda utasikia hizi ni juhudi za mtukufu rais wetu
Uganda piga hili genge la wahuni
Acha kuwa mpumbavuWewe bila shaka utakuwa mshabiki wa yanga...washabiki wa yanga sikuhizi hawana tofauti na wachawiii
Atakeye sema ivyo atakuwa mjinga,then kuna Radio station nilimsikia Salimu Mwalimu akihamasisha........wote wanafiki tuKama hata kuandika tu neno Lesotho inakushinda unadhani unaweza fanikiwa maombi yako?.
Sent using Jamii Forums mobile app