Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Maombi yangu maalum ni kwa Lesotho kupata ushindi mnono wa goli 3 bila kesho dhidi ya Cape Verde.
Kama Lesotho atapata pointi 3 zote kesho na timu ya wema sepetu na bashite ikapigwa 2 bashite na Uganda ntafurahi sana.
Sina sababu ya uwatakia ushindi timu ya bashite maana itakua ni kupoteza muda maana huko mbele watapigwa 7 itakua aibu, bora watoke sasa tufanye mambo mengine kuliko kuna kujichotea zigo la aibu huko mbele.
Kama Lesotho atapata pointi 3 zote kesho na timu ya wema sepetu na bashite ikapigwa 2 bashite na Uganda ntafurahi sana.
Sina sababu ya uwatakia ushindi timu ya bashite maana itakua ni kupoteza muda maana huko mbele watapigwa 7 itakua aibu, bora watoke sasa tufanye mambo mengine kuliko kuna kujichotea zigo la aibu huko mbele.