Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Please Moderator msiunganishe huu uzi maana mtakuwa mmefeli big time.
First of all naipongeza serikali Kwa kufikiria wazo la kuwasaidia wasanii kuhusu kutibiwa magonjwa ya moyo
Hili wazo sio baya Ila napendekeza mjaribu kuliboresha kwa kuhakikisha wasanii wote ambao wanajihusisha na sanaa ikiwemo Musicians, dancers , watu wa boxing , wachezaji mpira , actors and actress n.k
Kabla MTU ajaingia katika moja ya kazi hapo juu . kinabidi kiwepo chombo, taasisi au mfumo wa kuwasimamia hao watu
Kwanini uwepo mfumo wa kuwasimamia , kwakuwa pamoja na kwamba wana vipaji na talanta kubwa bado asilimia kubwa hawajitambui na hawana akili ya kuwaza mbele kuhusu kesho yao.
Hivyo MTU yeyote akitaka kuanza hizi Kazi anabidi kusajiliwa maeneo matatu muhimu
Katika insurance (BIMA)
Katika Usimamizi wa Kazi zake na haki za msingi .
Katika bank maalumu .
Katika Bima msanii -atakuwa kila anapofanya show yoyote lazima ikatwe hela itakayoelekezwa katika bima mfano umefanya show au onesho fulani unakatwa 10% ya malipo yako yanaingizwa moja Kwa moja Kwa ajili ya BIMA -hii bima itakuwa Ina-cover pale msanii akiumwa au akipata majanga yoyote .
Kuhusu usimamizi wa Kazi zake - msaniii kila Kazi atakayohusika lazima aendelee kunufaika nayo milele haijalishi ameiuza au hajaiuza , mfano Kanumba Leo mama yake ni masikini aliyetukuka huku Kazi za mwanae zinaendelea kuuzwa na watu wanapiga hela, hivyo endapo ukiuza Kazi yako inabidi kuwepo asilimia Fulani unapokea kupitia mauzo ya kazi zako. MTU Kama Steve Nyerere hadi anageuka chawa ni kutokana na kutokuwepo na huo mfumo
Mfano unauza filamu million 100 inabidi katika hio contract ubaki na agreements inayosema nitalipwa million 100 Ila kila Kazi yangu ikioneshwa katika sehemu mbalimbali Kama YouTube , Netflix n.k nitaendelea kupokea asilimia labda 20 ya mauzo na nikiyemuuzia atapokea asilimia 80
Hii itafanya wanaojiita bongo movie wasiwe malaya wakutupwa na wanaume kuwa makuhadi wa soko huria.
Na kuhusu Bank- msanii kila anapofanya Kazi anabidi kukatwa hela na hiyo inaingia bank na ikifika bank inaingizwa katika mfuko wa mafao ya msanii moja kwa moja .
Naomba kuwasilisha haya maboresho
Mh Mwana FA utapitia hapa na Asante yangu utanitumia PM
First of all naipongeza serikali Kwa kufikiria wazo la kuwasaidia wasanii kuhusu kutibiwa magonjwa ya moyo
Hili wazo sio baya Ila napendekeza mjaribu kuliboresha kwa kuhakikisha wasanii wote ambao wanajihusisha na sanaa ikiwemo Musicians, dancers , watu wa boxing , wachezaji mpira , actors and actress n.k
Kabla MTU ajaingia katika moja ya kazi hapo juu . kinabidi kiwepo chombo, taasisi au mfumo wa kuwasimamia hao watu
Kwanini uwepo mfumo wa kuwasimamia , kwakuwa pamoja na kwamba wana vipaji na talanta kubwa bado asilimia kubwa hawajitambui na hawana akili ya kuwaza mbele kuhusu kesho yao.
Hivyo MTU yeyote akitaka kuanza hizi Kazi anabidi kusajiliwa maeneo matatu muhimu
Katika insurance (BIMA)
Katika Usimamizi wa Kazi zake na haki za msingi .
Katika bank maalumu .
Katika Bima msanii -atakuwa kila anapofanya show yoyote lazima ikatwe hela itakayoelekezwa katika bima mfano umefanya show au onesho fulani unakatwa 10% ya malipo yako yanaingizwa moja Kwa moja Kwa ajili ya BIMA -hii bima itakuwa Ina-cover pale msanii akiumwa au akipata majanga yoyote .
Kuhusu usimamizi wa Kazi zake - msaniii kila Kazi atakayohusika lazima aendelee kunufaika nayo milele haijalishi ameiuza au hajaiuza , mfano Kanumba Leo mama yake ni masikini aliyetukuka huku Kazi za mwanae zinaendelea kuuzwa na watu wanapiga hela, hivyo endapo ukiuza Kazi yako inabidi kuwepo asilimia Fulani unapokea kupitia mauzo ya kazi zako. MTU Kama Steve Nyerere hadi anageuka chawa ni kutokana na kutokuwepo na huo mfumo
Mfano unauza filamu million 100 inabidi katika hio contract ubaki na agreements inayosema nitalipwa million 100 Ila kila Kazi yangu ikioneshwa katika sehemu mbalimbali Kama YouTube , Netflix n.k nitaendelea kupokea asilimia labda 20 ya mauzo na nikiyemuuzia atapokea asilimia 80
Hii itafanya wanaojiita bongo movie wasiwe malaya wakutupwa na wanaume kuwa makuhadi wa soko huria.
Na kuhusu Bank- msanii kila anapofanya Kazi anabidi kukatwa hela na hiyo inaingia bank na ikifika bank inaingizwa katika mfuko wa mafao ya msanii moja kwa moja .
Naomba kuwasilisha haya maboresho
Mh Mwana FA utapitia hapa na Asante yangu utanitumia PM