[emoji23][emoji23]Kwa nimjuavyo mzee mzito Kiduku lilo haya mambo hayakuishia hapo...alipofika nyumbani itakuwa alilia sana na kutafakari inawezekana vipi pande la mtu lijae ndani ya Ist kiasi cha kukosa pumzi, pia amesikitika kwa nini asingechukua namba yake japo amsaidie Ml 50 akanunue gari ili akitupe hicho kitu chake kutoka Toyota.
According to Kiduku lilo "Ni vyombo vya usafiri".Hahaha kiduku lilo bwana kwahiyo wenye ist sio magari
Mkuu najaribu kukutumia ujumbe PM unagoma kuja, fungua PM kama umeifunga niko na shida na wewe.Kidukulilo!hebu siku utueleze vitega uchumi vyako mkuu....una exposure nzuri nadhan wew utakuwa umewekeza sna...!karibu ununue "mabondo"[emoji41]!