Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
APa napiga chai nzito y mihogo na magimbi uku nashusha huu uziUmekunywa chai kweli wewe, maana njaa inaletaga wenge
Sasa ungesuburi ushibe kwanzaAPa napiga chai nzito y mihogo na magimbi uku nashusha huu uzi
Au sio 😂😂Sasa ungesuburi ushibe kwanza
Uyo ulie kutana nae actually ni mchafuTatizo wananuka k sio poa
Umekunywa chai kweli wewe, maana njaa inaletaga wenge
Mbona mazingira machafu sana?View attachment 3187601
Kalibu mkuu🤣🤣
Ndo asili ya Africa umezoea mikeka y plasticMbona mazingira machafu sana?
Watoto wa kishua watajua upo kwa mgangaView attachment 3187601
Kalibu mkuu[emoji1787][emoji1787]
Mapema 😂😂😂😂 na wamesha shangaa na kuuliza mazingira apo kwenye comment 🤣🤣Watoto wa kishua watajua upo kwa mganga
Kalibu ni kitu gani?View attachment 3187601
Kalibu mkuu🤣🤣