Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Upo sahihi hiyo Rx 8 ni nzuri zipo auto pia...na pisi ikisukuma mashine kali inakua na confidence hatari...Kweli kuna gari za maana wanaendesha wanawake zinawapendeza unaweza kudhani unatazama movie kumbe live.
Hizo Mazda RX 7 na RX 8 ukiagiza Japan mpaka inafika Bongo pamoja na Kodi kwa 12million unapata, Nyingi ni Manual wengi wanaogopa aina ya rotary engine iliyotumika kwenye gari hizo.
Mkuu kwanini unailewa ile? Na ni ya mwaka gani hasaSG5 ile ndio naielewaga zaidi facelift! Hahaha unataka utest unyama wake kwanza uuone ukoje? Inasepa bana 140 horses is quick at 6500rpm inasepa!
Jamaa kadharaulika aisee.....View attachment 1764021
Credit ziende kwa page ya instagram ya "teamcruiser" hapo ni LC100 series vs V8
Kuna jamaa yangu walienda semina ya Oil and Gas, pale Hyatt Regency jirani yake kwenye semina alikuwa mdada akaanzisha story wakawa marafiki kwa muda.Upo sahihi hiyo Rx 8 ni nzuri zipo auto pia...na pisi ikisukuma mashine kali inakua na confidence hatari...
Kuna jamaa yangu walienda semina ya Oil and Gas, pale Hyatt Regency jirani yake kwenye semina alikuwa mdada akaanzisha story wakawa marafiki kwa muda.
Wakati wa kutoka akaona bibie anaingia kwenye Ford Everest new model na siti bado zina karatasi. Anasema ikabidi azuge kidogo baadae akawashe Toyota Brevis yake. Tangu hapo huwa anasema ipo siku atavuta chuma Cha maana ni Bora kiwe kinatembea weekend na siku za matukio maalumu ila heshima iwepo.
Leo jamaangu mmoja mzambia kavuta range rover sport katoa msisitizo kuwa huko Zambia ataitumia siku za week end tuu jumaa,jumamosi na jumapili...hizo siku za kwanza ataendelea na chuma chakavu chake nimecheka sana...Kuna jamaa yangu walienda semina ya Oil and Gas, pale Hyatt Regency jirani yake kwenye semina alikuwa mdada akaanzisha story wakawa marafiki kwa muda.
Wakati wa kutoka akaona bibie anaingia kwenye Ford Everest new model na siti bado zina karatasi. Anasema ikabidi azuge kidogo baadae akawashe Toyota Brevis yake. Tangu hapo huwa anasema ipo siku atavuta chuma Cha maana ni Bora kiwe kinatembea weekend na siku za matukio maalumu ila heshima iwepo.
2008 ile imekaa utamu mzee it feels like a manly car! Hapa Subaru alifanya kweli π€Mkuu kwanini unailewa ile? Na ni ya mwaka gani hasa
Golf GTI ni gari mkuu, kama una pesa usijiulize mala mbili mbili chukua chukua nasema chukua [emoji205][emoji205]
Naunga mkono hoja... natumia vw polo ni gari bora kabisa... asijiulize mara mbili...achukue hio gari halaf atakuja kushukuru later
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππΎππΎππΎππΎUchafu mtupu zote.
huyu jamaa anafananisha mashine kubwa 1HZ na IST. nadhani hajawahi endesha cruiser.Hahaha unazingua ist haina uwezo wa kufika 180kph ikatulia road lazma iweweseke tu
Rx-8 hizo ni common sana,RX-7 nadhani huifahamu mdau.Bongo zipo zote RX7 na RX8 zikiwa stock rotary engine nyingine mpaka wanawake wanaendesha.
Rx-7 unaifahamu lkn mkuu?Yaani Rx-7 iingie bongo kwa tsh.12mil?Kweli kuna gari za maana wanaendesha wanawake zinawapendeza unaweza kudhani unatazama movie kumbe live.
Hizo Mazda RX 7 na RX 8 ukiagiza Japan mpaka inafika Bongo pamoja na Kodi kwa 12million unapata, Nyingi ni Manual wengi wanaogopa aina ya rotary engine iliyotumika kwenye gari hizo.
RX-7 zipo hapa Tanzania mkuu kwenye ambayo ni Bei nafuu ni RX-8 ambazo nyingi hapa Bongo.Rx-8 hizo ni common sana,RX-7 nadhani huifahamu mdau.
Mkuu hii gari ni ndege ya chini unaweza kuwa 160 ukazani uko speed 60 imetulia sana ukikanyaga inaitika hapo hapo hata maloli yakiwa 10 unayakataJumanne au jumatano nikiichukua trip ya mwanza then mwanzw dodoma.. niione ππππ
Sasa jomba unasemaje rx-7 kuifikisha bongo ni Tsh. mil 12?RX-7 zipo hapa Tanzania mkuu kwenye ambayo ni Bei nafuu ni RX-8 ambazo nyingi hapa Bongo.
RX-7 naifahamu kuna baharia alivuta 2015 baada ya kutoka Ulaya na ipo mpaka leo ingawa kwa mwaka inatembea akiwepo Bongo.
RX-7 ni Bei ghali kuzidi RX-8. Nilikuwa naongelea uwepo wa Mazda RX-8 bongo na RX-7.Sasa jomba unasemaje rx-7 kuifikisha bongo ni Tsh. mil 12?
Sure lina mwendo..Mkuu hii gari ni ndege ya chini unaweza kuwa 160 ukazani uko speed 60 imetulia sana ukikanyaga inaitika hapo hapo hata maloli yakiwa 10 unayakata
Mileage 138k?Ila ukiagza mwenyew 30m unaitoa kumbe hata 26 unaweza ipataView attachment 1763447
View attachment 1763448
View attachment 1763449
huyu jamaa anafananisha mashine kubwa 1HZ na IST. nadhani hajawahi endesha cruiser.