moondampwani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 535
- 169
Wakuu mmeamkaje?
Binafsi naipenda sana subaru nikiionaga mtu road ana drive huwa naona wivu sana. Ndoto zangu ni kumiliki subaru forester XT hii gari naipenda sana. Najipanga ni import hio mashine from Japan.
Wataalam naombeni nondo kuhusu hio gari kwa anaejua shida yake na sifa za hio gari kwa ujumla. Sijataka kwenda google kwasababu wazungu ndo wana discus ila nimeleta humu Jf coz najua kuna watu wana miliki hio chombo.
View attachment 1762186
View attachment 1762187
View attachment 1762188
View attachment 1762189
Hio gari ina 1990cc tu.
kuna maajabu gani kwenye subaru mkuu ? au hizo CC 1990 [emoji1][emoji1][emoji1]
Hamna gari mule mkuu! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fika 120 sasa uone kinavyopepea
Waswahili tuna roho mbaya Sana,hivi ni kweli unaijua Subaru forester au basi Tu umeona ni Bora ufanye comedy
off road perfomance ikoje maana hiyo ni class ya SUV.Acha nitoe ushuhuda kidogo kwani ninamiliki Subaru xt ya 2010 yenye cc 2456 + turbo charged Ej 25, speed 240 ph, ni bonge la Gari, nainjoy sana, ina nguvu ni hatari,ila inahitaji care sana pia spare ni ghali ukilinganisha na Gari nyingi, barabarani inatulia sana haiyumbi hata kidogo, si bravis, crown, alfard au kluger anaeweza kufata Gari hii, ila inahitaji umakini mkubwa sana kwani ni nyepesi sana kuchangana.
hii sawa, naielewaKuna Subaru xt yenye cc 2500 unaijuwa?
Mileage 138k?
Unanunua scraper wewe.
Ninachosema ni kwamba,Mjeruman uyo msikariri gari ni mileage bossy ndomana mnapigwa. Gari yenye above 100k hzi nyingi zimepigwa service ya maana kiwandan
Soma heading ya uzi...Subaru Gani unaizungumzia kuna Mtu katembea na 200 na Gari imetulia.
Mbona imekaa kimayai sana?Haina tofauti sana na probox,imeboreshwa kidogo
Niuzie mkuu π€π€Mimi ninayo ya cc 2456 +turbo charged speed 240 ph
Mbona imekaa kimayai sana?
Mkuu ile sura ya probox huwa inatisha sana!πππHapana ni muundo wa nje tu,nadhani ni ili lifae hata kwa misele ya kawaida
Mkuu ile sura ya probox huwa inatisha sana![emoji1][emoji1][emoji1]
Naunga mkono hoja... natumia vw polo ni gari bora kabisa... asijiulize mara mbili...achukue hio gari halaf atakuja kushukuru later
Mkuu mutu murefu , share nasi experience yako kuhusu VW Polo. Ni gari nayoiwaza sana kuimiliki in near future.
Watu wengi wanasema kuwa gari za mjerumani ni pasua kichwa, hasa kwenye maintenance. Hili lipoje?
Champagnee, kila mtu na gari lake ndio maana nikakwambie Subaru bado ipo mbali na mm na kwa maintanance kuna gari inamaliza miaka 50 bila block au cyilinder head kubadilishwaWengi wanasema hvo wanasema bora marcedes
Sio kweli. Nina GX100 imeacha kusoma (speedometer imekufa) at 200k+ huko Hadi leo mashine jino moja tu inaitika naipaki bila kuigusa hata mwezi mzima,nilikuwa na Volvo nimeikata spares at 160k+ miles ambazo ni kama 260km sasa hivi nina Toyota nimeinunua from Japan ina 145,000km Hadi leo ina 151,000km tangu niinunue ni miezi 6 nasafiri nayo na huko njiani hakuna rangi wanaacha ona!Ninachosema ni kwamba,
Kununua gari yenye mileage above 100k ni sawa na ununue scraper. Majority ya parts zinakuwa zimechoka na ni ngumu kubadilisha zote huo ni uongo. Unachooneshwa ni rangi mpya ila huko chini kumeanza kuoza. Baada ya km 30k utaanza kulia kubadilisha parts.
Kuna gari zina mileage ndogo na service zinapata kwa wakati. Hata baadhi ya areas zinakuwa hazijachoka. Na kuna watu wengi wanauza magari yenye mileage ndogo bila utapeli. Wakati unaweza enda zaidi ya 100k bila major overhaul.