Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
VW Amarok, Msweden anasema jamaa waliona magari mbele wakapisha, hilo convoy lao linatisha na hao jamaa ni wagomvi kwelikweli Ligi nao ni hatari hawataki mbele ilibidi nikanunue maji wapite bado hawakuaminiAh kavideo ka tamu nmekarudiarudia hii ilikua gari gani hiyo???
Maana amewakata chap kwa haraka
rudia kuangalia mwisho ni kona madude yao yasingekata, palikuwa peupe badoHapo haujampita amepunguza speed kutokana gari zilizopo mbele yake tu,nahisi mbele ya safari ulikula fimbo za kutosha