Naomba robo fainali tupangwe na Al- Ahly Tripol ya Libya

Naomba robo fainali tupangwe na Al- Ahly Tripol ya Libya

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kwa kushika nafasi ya pili teams za kukutana nazo zilizotop groups ni Orlando pirates, Ali Itihadi ya Libya au Mazembe, mimi hapo naomba tukutane na Walibya haswa ukichukulia mechi tunaanzia nyumbani.

Its been a long time Simba kufika nusu fainali, kuna kizazi hakijawahi shuhudia kabisa1974 kina Mambosasa walifika nusu fainali ya champions league wakatolewa na Mehal al kubra ya Egypt.

1993 kina Masatu, Mwameja walifika fainali ya shirikisho wakapoteza Dar es salaam, kazeni kina Manula fikeni hata nusu ndugu zangu.
 
Kwanini sio Mazembe? Hao top wote wanamtamani Simba.
 
lile litimu lenu tuhesabie wazawa wanaoanza ni wangapi
Waache wajichekeshe mkuu, wana kipa la kisukuma linaitwa Johora... hawa jamaa sijui wa wapi aisee kwa sasa Africa ina teams 16 bora zilizobaki ..8 klabu bingwa..8 shirikisho halafu ikija kutoka list ya teams 20 bora Africa kuna mijitu inashupaza shingo
 
Kimahesabu hatuwezi kukutana na Al Ittihad robo fainali kwakuwa ameshika nafasi ya pili ktk kundi lake nyuma ya Orlando Pirates

Labda kama unamaanisha Al Ahly Tripoli ya Libya hawa ndio kimahesabu tunaweza kukutana nao
 
Kimahesabu hatuwezi kukutana na Al Ittihad robo fainali kwakuwa ameshika nafasi ya pili ktk kundi lake nyuma ya Orlando Pirates

Labda kama unamaanisha Al Ahly Tripoli ya Libya hawa ndio kimahesabu tunaweza kukutana nao
TP Mazembe hata wakiwa wabovu huwa wanatusumbua, Orlando pirates wa msimu huu wazuri sana, hapa at least hao waarabu wa tripoli.
 
Kimahesabu hatuwezi kukutana na Al Ittihad robo fainali kwakuwa ameshika nafasi ya pili ktk kundi lake nyuma ya Orlando Pirates

Labda kama unamaanisha Al Ahly Tripoli ya Libya hawa ndio kimahesabu tunaweza kukutana nao
Yes nimewachanganya ni hao tripoli ambao nahisi ndiyo walichezaga na biashara mara ila nao ni kama wame i mprove wamewakazia wa Tunisia leo pia
 
Ndivyo ilivyo hata Ulaya na kwingineko. Akina Man City, Liverpool, Tottenham, Madrid, PSG n.k. usione wanawika, ni wachezaji wa kigeni tu ndiyo wanatamba. Ndiyo biashara ya mpira ilivyo baba.
Unapoteza muda wako bure tu hapo kubishana na hao watu wasojua ladha ya kuheshimiwa kimataifa.
 
Back
Top Bottom