Naomba ruhusa

Naomba ruhusa

Sisi tunaoishi kwa wazazi mwisho wa kurudi nyumbani ni saa 1 jioni, kwahiyo mchana ndio tulienda huko unapoenda wewe usiku huu. Kutesa kwa zamu.

Ushauri: Kama unaenda Lodge, kagua mashuka vizuri maana watu wamecheza humo mchana kutwa😂
😂😂
 
Back
Top Bottom