DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Nashangaa kuona watu hawatumii huu mtandao Wala sio members wakati kwa Tanzania hakuna mtandao wenye watu smart na Maarifa na uchumi Kama hapa JF.
Naomba Serikali waweke mpango kwa kila mtanzania awe na App ya JF katika simu yake .
JF Ni kisiwa Cha Maarifa the home of Great thinkers. Hapa ni zaidi ya chuo kikuu japo Kuna madanga na vijana wa hovyo wanafungua I'd mpya ili kupost pumba hawa wanatumwa na watu fulani kutoka Sehemu za Juu na ntakuja kuwataja Muda wao utakapotimia, it's just matter of time.
Serikali Viongozi wote mnashinda JF lakini hamtaki kuwaambia wananchi wenu wajiunge hapa JF?
JF DAIMA
Naomba Serikali waweke mpango kwa kila mtanzania awe na App ya JF katika simu yake .
JF Ni kisiwa Cha Maarifa the home of Great thinkers. Hapa ni zaidi ya chuo kikuu japo Kuna madanga na vijana wa hovyo wanafungua I'd mpya ili kupost pumba hawa wanatumwa na watu fulani kutoka Sehemu za Juu na ntakuja kuwataja Muda wao utakapotimia, it's just matter of time.
Serikali Viongozi wote mnashinda JF lakini hamtaki kuwaambia wananchi wenu wajiunge hapa JF?
JF DAIMA