Naomba Serikali iwaambie Watanzania wote kujiunga Jamii Forums ili kuokoa kizazi hiki

Naomba Serikali iwaambie Watanzania wote kujiunga Jamii Forums ili kuokoa kizazi hiki

Asilimia kubwa ya maudhui ya JF kwa sasa Upande wa mijadala ni Papuchi, kugegeda, Kutafuta Mume/Mke na viupuuzi vingine vingine, Upande wa Jukwaa la Siasa ni Maudhui ya CHAWA tu ndio yana 'trend' Uki post mada nzito ama kufichua uovu fulani ndani ya Serikali Mada yako inapotezwa haraka na Mods.

Upande wangu Kwa sasa JF imekua ni kama kijiwe tu cha kuja kupepesa macho.
Kwa kifupi hawa memba 620,000 wa jf wanatosha.
Naogopa mzabzab na Zero IQ
Wataiharibu jamii endapo karibu watu wote wa Tanzania watajiunga humu[emoji28]
 
Ni bora wasioutumia kuliko kuwa na wapumbavu Kama wewe humu
 
Ni vile serikali yetu inathamini facebook na twitter kuliko Mtandao wa mwanaNChi wake Raisi alitakiwa awe na account jamii forums... na viongozi wote akipost twitter kwa Elon musk wakati analipia USD 8 aje apost na huku jamii forums kuonesha kusupport vitu vya ndani

hii jamii forums ingekuwa SA Now ungekua mtandao namba moja africa
Jf kumejaa wajinga wengi mno, hakuna kiongozi makini atafatilia huu ujinga unaofanywa na members humu.
 
Nashangaa kuona watu hawatumii huu mtandao Wala sio members wakati kwa Tanzania hakuna mtandao wenye watu smart na Maarifa na uchumi Kama hapa JF.

Naomba Serikali waweke mpango kwa kila mtanzania awe na App ya JF katika simu yake .

JF Ni kisiwa Cha Maarifa the home of Great thinkers. Hapa ni zaidi ya chuo kikuu japo Kuna madanga na vijana wa hovyo wanafungua I'd mpya ili kupost pumba hawa wanatumwa na watu fulani kutoka Sehemu za Juu na ntakuja kuwataja Muda wao utakapotimia, it's just matter of time.

Serikali Viongozi wote mnashinda JF lakini hamtaki kuwaambia wananchi wenu wajiunge hapa JF?

JF DAIMA
Sawa.Ila siyo sahihi kupata maarifa ya upande mmoja tu.Nawe uwe unatembelea mitandao mingine,kutazama filamu,kujichanganya katika maongezi ya jumuiya mitaani na usisahau kusoma vitabu mbalimbali.
 
Huu mtandao ukiona uko interested nao. Basi ujue wewe uko Smart sana,

Sio kila mtu anayapenda maarifa. Vijana siku hizi wao busy na Instagram, Facebook japo uko nako kuna maarifa lakini bado Jf inabaki kuwa On Top.

Japo kuwa siku hizi Jf kuna ID Uwa zinapost Pumba sana sijui ndo kusema U Great thinker Umewakolea sana.

Maana Matusi, kejeli, dharau vimekithili miaka ya hivi karibuni. TUBADIRIKENI

#JfTogether
Hao smart wapo wapi? Huyi tu aliyeleta hii post ni mjinga na mpumbavu wa mwisho. Fatilia mijadala na post zake.
 
Serikali haiwezi kuipa platform kubwa JAMII Forum hata kidogo, Ili mambo yaende sawa lazima uongoze watu wenye uelewa mdogo hata wakinyimea haki zao wakose awareness ya kudai.
Kama Tanzania tuna safari ndefu ya kuwa na population kubwa ya watu wanaojielewa.
 
Back
Top Bottom