Naomba Serikali iwaambie Watanzania wote kujiunga Jamii Forums ili kuokoa kizazi hiki

Naomba Serikali iwaambie Watanzania wote kujiunga Jamii Forums ili kuokoa kizazi hiki

Asilimia kubwa ya maudhui ya JF kwa sasa Upande wa mijadala ni Papuchi, kugegeda, Kutafuta Mume/Mke na viupuuzi vingine vingine, Upande wa Jukwaa la Siasa ni Maudhui ya CHAWA tu ndio yana 'trend' Uki post mada nzito ama kufichua uovu fulani ndani ya Serikali Mada yako inapotezwa haraka na Mods.

Upande wangu Kwa sasa JF imekua ni kama kijiwe tu cha kuja kupepesa macho.
Hata mimi tangu nimeifahamu jf miaka 7 iliyopita ulikua ni mtandao makini sana. Nondo kibao hadi kitaa watu wanauliza we jamaa hizi nondo unazijulia wapi.!?

Ila hasa hii miaka kuanzia 2020, watu wa hovyo wamevamia aisee, na kuna wale wa zamani ambao wameshakengeuka basi nao wanabadili id zao na kufungua nyingine. Wale walojisali kwa account mbili basi wanaanza kucomment ujinga kwa account nyingine.
 
Hii ni culture iliyojiwekea JF sera ya faragha na hii ndio inaifanya kuwa ya kipekee tofauti na mitandao mingine
Faragha ingeishia kwenye kuficha utambulisho [IDs] tu, ila hatuna fahari ya kusema hadharani kuwa natumia JF na hata kushirikisha watu wengine na kuwasihi wajiunge.
 
Asilimia kubwa ya maudhui ya JF kwa sasa Upande wa mijadala ni Papuchi, kugegeda, Kutafuta Mume/Mke na viupuuzi vingine vingine, Upande wa Jukwaa la Siasa ni Maudhui ya CHAWA tu ndio yana 'trend' Uki post mada nzito ama kufichua uovu fulani ndani ya Serikali Mada yako inapotezwa haraka na Mods.

Upande wangu Kwa sasa JF imekua ni kama kijiwe tu cha kuja kupepesa macho.
Sema kwa upande wako hizo ndio forum unazozifatilia,kuna forums nyingi sana hapa ukizifatilia na kuanza kusoma hadi muda utakukosa.
 



Wasomi wenye upumbavu pamoja na moderators wasiojielewa ndo wamechangia JF kua ya hovyo.
 
Ni vile serikali yetu inathamini facebook na twitter kuliko Mtandao wa mwanaNChi wake Raisi alitakiwa awe na account jamii forums... na viongozi wote akipost twitter kwa Elon musk wakati analipia USD 8 aje apost na huku jamii forums kuonesha kusupport vitu vya ndani

hii jamii forums ingekuwa SA Now ungekua mtandao namba moja africa
Ingekuwa kama reddit ilivyo pale USA
 
Faragha ingeishia kwenye kuficha utambulisho [IDs] tu, ila hatuna fahari ya kusema hadharani kuwa natumia JF na hata kushirikisha watu wengine na kuwasihi wajiunge.
Ukishatumia neno faragha automatically vingi vitaingia humo
 
Faragha ingeishia kwenye kuficha utambulisho [IDs] tu, ila hatuna fahari ya kusema hadharani kuwa natumia JF na hata kushirikisha watu wengine na kuwasihi wajiunge.
Ukishatumia neno faragha automatically vingi vitaingia humo
 
Nashangaa kuona watu hawatumii huu mtandao Wala sio members wakati kwa Tanzania hakuna mtandao wenye watu smart na Maarifa na uchumi Kama hapa JF.

Naomba Serikali waweke mpango kwa kila mtanzania awe na App ya JF katika simu yake .

JF Ni kisiwa Cha Maarifa the home of Great thinkers. Hapa ni zaidi ya chuo kikuu japo Kuna madanga na vijana wa hovyo wanafungua I'd mpya ili kupost pumba hawa wanatumwa na watu fulani kutoka Sehemu za Juu na ntakuja kuwataja Muda wao utakapotimia, it's just matter of time.

Serikali Viongozi wote mnashinda JF lakini hamtaki kuwaambia wananchi wenu wajiunge hapa JF?

JF DAIMA
Kabisa, binafsi natenga muda wa kuingia jamii forum kucheki na kujifunza mengi sana, kushiriki kutoa ushauri ama experience halisi ambazo nimepitia kwa uhalisia na siyo kuskia ama kuambiwa. Kusearch threads za aina mbali mbali kujifunza, ama kufurahisha ili ni cheke maana pia kuna watu wana akili za hovyo ila it's fun reading their threads and comments. Mada ambazo za vutia mfano usomaji wa vitabu unaweza kuta wana elezea juu ya reviews za vitabu mbali mbali na wewe unaweka kwa list of your next purchase books list and so much more. I wish watu watumie hii site vizuri.
I like it when I'm free from the busy and hard day kupitia hapa Jamii Forum.
 
Back
Top Bottom