Naomba siku nikifa nizikwe kino badala ya Bukoba

Ume acha na hela au una omba omba tu hapa
 
P.o. box hautoshi mkuu, aweke na anwani ya makazi, yaani street na plot no kabisa[emoji1787]
 
Mkuu,,, dondosha pia na namba ya bank,, mzigo unaouacha , ATM card na password! Acha kimemo umeturisisha jf hpa,, usife kizembe
 
Labda jamaa anapitia Moto wa HIV, njugu za kila cku usiku zimemchosha anaona Bora kifo kuliko njugu daily,,

Vijana, UKIMWI UPO, Tucheze kistaarab , tuchakate mbususu kwa tahadhar
 
Sasa mtu hataki kuzikwa Kwao anang'ang'ania kinondoni kisa Lecturer aliyekutana naye chuo kwani akizikwa kinondoni ndio Kuna unafuu Kuliko Bukoba?
Hawa ndio walikuwa wanaona fahar kuzikwa wakiwa hai Kama mto wa chifu au mtemi
 
Tutakupeleka huko kwenu Bukoba ili tuone kama maisha yako ya Dar yanaakisi hali ya mazingira kijijini kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…