financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Unaenda wapi na pipa langu mkuu😂😂Wakati huohuo mimi👇
View attachment 1874188
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaenda wapi na pipa langu mkuu😂😂Wakati huohuo mimi👇
View attachment 1874188
Makwinya hahaaWakati huohuo mimi[emoji116]
View attachment 1874188
Wewe siku hizi hunipendi tena kama zamani!😔😔😔Unaenda wapi na pipa langu mkuu😂😂
Dada yangu walitumia Detox,Habari waungwana,
Kama mada inavyoonekana hapo juu naomba mwenye kujua suluhisho la kuondoa kitambi anisaidie, nilijifungua kwa operation mwaka jana 11 na sikufunga tumbo sasa badala ya kuendelea kupungua ndo kwanza tumbo linazidi kukua nakosa raha jamani hasa ukitaka kuvunja kabati nguo zinagoma!
Msaada please
Nnavokupenda daily wala hata usiseme hivo😀😀Wewe siku hizi hunipendi tena kama zamani!😔😔😔
Asante mkuu kwa maelekezoHakuna njia ya mkato.
Jitahidi kuuchosha mwili kwa zoez la kutembea chapchap hata 1km mida ya jion. Jitahidi kutenga hata siku mbili kwa juma moja.
Ukizoea utashangaa unafika 2km.
Ila matokeo yake yanakuja taratibu.
Ukiwa serious baada ya miez utaanza kuona mwili mwepesi.kupungua mwili mzima sio kitambi tu.
Kula we kula tu
Narudia tena kula
Ila mazoezi yawe sehem ya maisha yako yote
Kama ni mwajiriwa jitahidi jion pale au weekend.
Ukiwa na muendelezo mzuri
Hatimaye utabadili tabia na kuwa mazoea
Detox ipi alitumia wahanga tuko wengiDada yangu walitumia Detox,
Kunywa asububi na jioni,,hii inaambatana na kupunguza quantity ya chakula.
Ndani ya mwezi hadi miezi miwili utaona matokeo mazuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Instagram mcheki Dr Boaz mkumbo MDHabari waungwana,
Kama mada inavyoonekana hapo juu naomba mwenye kujua suluhisho la kuondoa kitambi anisaidie, nilijifungua kwa operation mwaka jana 11 na sikufunga tumbo sasa badala ya kuendelea kupungua ndo kwanza tumbo linazidi kukua nakosa raha jamani hasa ukitaka kuvunja kabati nguo zinagoma!
Msaada please
Hii vita sio rahisi kuacha [emoji23][emoji23]1.Punguza kula sukari na wanga.
2. Kunywa maji ya kutosha.
3.Kula matunda, mboga mboga na protein kama Samaki, kuku na nyama.
Bomoa [emoji23][emoji23][emoji23]Wakati huohuo mimi[emoji116]
View attachment 1874188
Sayansi ya Mapishi ataweza? Muambie aandae na hela na kutumia product za jamaaNenda Instagram mcheki Dr Boaz mkumbo MD
Unatafuta excuses sana hii itakuletea shida..Thanks,but kibongo bongo Kula proteni ni ishu sababu ya uchumi unakuta vyakula tajwa visivyo ruhusiwa ndo vipo kwa urahisi
Nashukuru sanaUnatafuta excuses sana hii itakuletea shida..
Google mboga za majani zenye protein kwa wingi kama nyama samaki na maharage ni ghali..
Maana vegetarian, source yao ya protein wanaipata kwenye mboga mboga pia...
Unapaswa kula healthy fat na protein kwa wingi..
Usile wanga / labda low carbs mara chache chache sana!!
Acha kabisa carbonated drinks kama Pepsi Big..nk
Fanya mazoezi hata kutembea pia ni mazoezi...
Kuna raia kila mahali ni kuzurula na boda boda tu hata kwenda sokoni umbali wa kawaida tu!!
Mwili wako utajengwa kutokana na lifestyle yako!!!
Anza leo taratibu na Matokeo utayaona!, hakuna shortcuts au solution ya muda mfupi /ambazo zinaweza kukuletea madhara!!
Oyaaa hilo ni tumbo au kabati?Wakati huohuo mimi👇
View attachment 1874188
Kikopo kidogo hivi kama Cha dawa za maji.Detox ipi alitumia wahanga tuko wengi