GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo timu ndio iliyoingia huo mkataba? Basi hongera kwakekuna timu ligi kuu inawalipa wachezaji wake laki nane kila mwezi kwahyo hyo milioni 200 kwa mwaka ni bajeti ya mshahara wa wachezaji kwa mwaka kwa baadhi ya timu za ligi kuu yetu.
Magoma FC bhana.....!!kuna timu ligi kuu inawalipa wachezaji wake laki nane kila mwezi kwahyo hyo milioni 200 kwa mwaka ni bajeti ya mshahara wa wachezaji kwa mwaka kwa baadhi ya timu za ligi kuu yetu.
Kwenye kabila letu kama wajukuu uwa tuyapiga magoma nakuwavisha watu SANDA ili watupe chochote kile tunachokitaka kwa sababu ni tamaduni zetu. Zingatia neno SANDA.Magoma FC bhana.....!!
Tangu mpigwe 👋 akili zisha warukaNi jambo lililotegemewa, hata Magoma aliliongelea. Mkurugenzi wa uwekezaji wa kampuni ya mdhamini wa klabu ndiye rais wa klabu inayodhaminiwa. Kwa lugha nyepesi, ana maamuzi kote kote, kwa hiyo anaweza akaidhinisha biashara kati ya taasisi hizo mbili kwa bei anayotaka, kutegemea anataka ampe favour nani
Msiwe mnaongea vitu bila kujua vitu udhamini una package alf kama unahisi wamepigwa peleka wewe mdhamini mwenye dau kubwaHapo Kun awatu wamekula mpunga, Yanga ya sasa sio ya kufanya dili la milioni 200 kwa mwaka, hela ambayo ni kama mshahara wa mchezaji mmoja wa miezi mitano tu, imagine!!!
Alafu unasign miaka mitano, hata brand yako ipande vipi pesa ndo Hio Hio, poor decision!!!
Tangu mpigwe 👋 akili zisha waruka
Yanga aisee aibuuSiku zote Thamani ya Mjanja anayejitambua kama Rafiki yangu Bila bila haiwezi kuwa ya kupewa Shilingi Milioni 200 kwa mwaka wakati Mjanja mwingine anayejitambua kama GENTAMYCINE Yeye anajijua kabisa kuwa Thamani yake kwa sasa na kwa jinsi alivyo hapa Barani Afrika ni kuanzia Bilioni 3 kwa Mwaka.
Hata bk 20 kwa siku atapokea tuSiku zote Thamani ya Mjanja anayejitambua kama Rafiki yangu Bila bila haiwezi kuwa ya kupewa Shilingi Milioni 200 kwa mwaka wakati Mjanja mwingine anayejitambua kama GENTAMYCINE Yeye anajijua kabisa kuwa Thamani yake kwa sasa na kwa jinsi alivyo hapa Barani Afrika ni kuanzia Bilioni 3 kwa Mwaka.