Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 361
Habari za leo wakuu,
Naomba leo tujadiri mambo ya msingi sana, mambo ya biashara.
Ni njia zipi mnazotumia kutuma mizigo ya biashara kutoka China kuja hapa Tanzania.
Mfano mzigo wa nguo, simu au mzigo mwingine wowote wa baishara mnatumia njia zipi kutuma.
Njia ambazo ni haraka, za bei rahisi, na hazina riski ya usalama wa mzigo.
Karibuni ndugu zangu
Naomba leo tujadiri mambo ya msingi sana, mambo ya biashara.
Ni njia zipi mnazotumia kutuma mizigo ya biashara kutoka China kuja hapa Tanzania.
Mfano mzigo wa nguo, simu au mzigo mwingine wowote wa baishara mnatumia njia zipi kutuma.
Njia ambazo ni haraka, za bei rahisi, na hazina riski ya usalama wa mzigo.
Karibuni ndugu zangu