Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 361
Mkuu hawa huduma zao zikojeSillent Ocean au Mukha Cargo.
Mkuu hata mkoani, na je vipi kuhusu DHLUnique air cargo.
Nunua mzigo wako kisha mpe anuani muuzaji wako ya hawa jamaa. Jamaa watapokea mzigo na kukuletea hapa kwetu
DHL wako ghari sanaMkuu hata mkoani, na je vipi kuhusu DHL
Hawa wanatumia meli bila shaka mkuu hivyo mzigo hukaa muda mrefu sana majini sio ? na je wana mini.um order ambayo wameweka let say pc 100 au hata pc 2 wanasafirisha?Sillent Ocean au Mukha Cargo.
Kuna mada kama hii ipo hapa muda, jaribu kupita pita unaweza ukaiona...Wakuu michango yenu tafadhari
ππππππππ
Hawa wababaishaji nimewapigia sasa hivi nilikuwa nataka kusafirisha memory cards bei walizoandika hapo na walizonitajia tofauti sana.
Nmkuu, japo bado sijapata information za kutoshaNaona mleta mada umepata muongozo...
ndio mkuu, japo bado sijapata information za kutosha