Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Kweli kabisa. Akiwa mwalimu hadi watoto wa ndugu wanaolelewa na huyo familia lazima wawe waalimu
Maisha haya ya tanzania sijui yataisha lini baba akiwa jeshi watoto nao lazima wawe majeshi akiwa mwana siasa lazima watoto wafuate huko kwahiyo mondi muimbaji dada yake lazima naye awe msanii lazima apuyange tuuu anaforce kuimba