FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mfano hai kabisa ambao nimeshuhudia kwa macho yangu mitaani na pia katika mitandao, ni ile hamu na shauku waliyokuwa nayo baadhi ya waTz kuona ugonjwa wa Corona ukiingia Tz, na unamuona kabisa mtu huyo anaumia kila walipoambiwa kuwa ugonjwa bado haujafika.
Ile siku yule dada wa huko Kaskazini alipouleta huu ugonjwa kwa mara ya kwanza niliona nyuso za furaha, vifijo na nderemo huko mitaani as if kuna timu ya taifa imeshinda kombe la Afrika, kila mtu anafurahia kivyake, wengine wanashangilia mitandaoni, mara ooh “tutaongea lugha moja sasa” , mara ooh “ngoja tuone mtakavyondoka kama kumbi kumbi” , mara ooh “subirini wiki mbili tuone tukavyoisha”, halafu sasa unakuta zile wiki mbili zinaisha na hakuna lockdown wala hakuna watu wanaodondoka kama kumbi kumbi unaona kabisa jinsi watu wanavyoumia na kuteseka, sasa mimi niulize, hivi sisi tukifa nyiynyi mnafaidika nini? Au ni nini hasa kinachokuwa kinatembea akilini mwenu hadi mnafurahia misfortune za taifa, WHAT IS THIS?
Ile siku yule dada wa huko Kaskazini alipouleta huu ugonjwa kwa mara ya kwanza niliona nyuso za furaha, vifijo na nderemo huko mitaani as if kuna timu ya taifa imeshinda kombe la Afrika, kila mtu anafurahia kivyake, wengine wanashangilia mitandaoni, mara ooh “tutaongea lugha moja sasa” , mara ooh “ngoja tuone mtakavyondoka kama kumbi kumbi” , mara ooh “subirini wiki mbili tuone tukavyoisha”, halafu sasa unakuta zile wiki mbili zinaisha na hakuna lockdown wala hakuna watu wanaodondoka kama kumbi kumbi unaona kabisa jinsi watu wanavyoumia na kuteseka, sasa mimi niulize, hivi sisi tukifa nyiynyi mnafaidika nini? Au ni nini hasa kinachokuwa kinatembea akilini mwenu hadi mnafurahia misfortune za taifa, WHAT IS THIS?