Naomba tupeane uzoefu wa kuishi nyumba moja na mama mkwe baba mkwe mashemji

Mie mwenyewe kwenda kuwasalimia tu basi inatosha hapa kwenyewe nishamaliza kazi zangu nimepumzika nipo nyuma ya keyboard sasa ukweli duu itakuwa ngumu kwenye shida sawa, mie mr alienda kusoma ng'ambu si wakaseme nikaishi kwao, mwenyewe eti haa atabaki hapa hapa haina shida, komaa tu mama

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
oh mama ako ni single mother! ebu nitolee laana mimi siyo single mother labda hao dada zako! jifunze kutokushobokea usiowajua!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
It's very stupid charty
Pole sana

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
KUMBE HUYU DADA AMEJENGA NYUMBA YAKE YA VYUMBA 3 HEBU TUMUULIZE ALIJENGA WAKATI YUKO NA MUME AU KABLA?
 
Kataa hata mama mkwe akikwambia mgomee indirect bora ungeanzia kwawakwe then uje kwako kuliko utoke kwako uende kwa wakwe hyo ndoa ikimaliza mwaka mungu yu nawe

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Pole dada. Kama kuna uwezekano kataa ila kama hakuna jinsi nenda tu mama. Baada ya mwaka mmoja uje utupe mrejesho.
 
Tunaenda kushuhudia Marekani na N.Korea wakiingia kwenye mtanange ndani ya ardhi ya Tz...

Kuishi kwa wakwe unahitaji uwe na moyo wenye engine ya Boing 777...
 
Nyumba ya mama mkwe walijenga wao! Basically ni nyumba yao. It's not fair kupanga wakati ipo
 
Hivi unaona huyu mama ni type ya kufua nguo za mume na kupiga pasi?
 
Kuna baadhi ya maneno yenye ukweli katika bandiko lako hasa kama bidada alishindwa kumpa support mme wake. Na nadhani ndo maana jamaa katapatapa na akaona ni bora akajibanze kwao wakati akijipanga. Ole wao hiyo nyumba ikamilike wakiwa ukweni au vyovyote vile yeye ajiandae tu
 
Nyie Madada Hela Zenu Huwaga Za Kwenu Tu Ila Ya Mwanaume Yenu Wote Sasa Mwanaume Kayumba Mnaponda Kwenda Ukweni

sio wanawake wote kama unavyofikiria mkuu laiti ungejua maisha ya wengine. na ukimsoma mleta mada amesema hata nyumba ambayo wanaishi wakwe naye alichangia tofauli kwa hiyo ni mtu anayeshiri kwenye pato la familia.

mkuu hakuna mtu ameponda kwenda kuishi ukweni isipokuwa mleta mada anapata kigugumizi kwenda kama ndivyo basi wajipange wote kama umenisoma vyema.......isitoshe mkuu familia zingine wakwe ni balaa unaweza kuona maisha magumu bora waendelee kupendana kama walivyo sasa.
 
Sana tu mkuu, si unajua hawa viumbe kwa maneno. Kaka kakosa pakushika, kaona arudi home kwanza wakati akijipanga pia stress zipungue. Kuna mdau hapo juu kasema pengine mshahara wa kaka ni wa wote, ila wa dada ni wake. So inakuwa shida kidogo but kama wanashirikiana vizuri, hawawezi kushindwa kupata solution nzuri zaidi. Kurudi home naona kama last option kwangu maana kusudio lao ni kuwa na familia yao na kuvumiliana huku wakiwa tayari kukumbana na changamoto za dunia kwa hekima na mipango halali. Naona bidada ajaribu kumpa nafasi yake mmewe kama kumuweka wazi katika kile anachokipata nakinavyotumika huenda kaka anaona unamtumika na maneno juu. Jaribu pia kubadili huu utaratibu wa kulala lala wanaume wengi hatuipendi wengi huwa hatusemi, ingawa nikikukuta umellala mchana naona sawa tu.
 
MBONA WAARABU,WAZUNGU,WACHINA NA WAPEMBA WANAISHI NA WAKWE ZAO AU WEWE MVIVU MVIVU UNANAVYO ONEKANA NDIO MAANA UNAJICONFESS KWA KUHOFIA KUWA UTASHINDWA KUISHI UKWENI
Utamaduni wa wale na sisi ni tofauti sana
 
Muulize kama wazazi wasingekuwepo mngeenda kuishi wapi?...jibu atakalo kupa ndo litakuwa sahihi,ila si kweda kwa wakwe

naomba mwenye lugha ya kejeli afunge mdomo wake[/QUOTE]
 
KUMBE HUYU DADA AMEJENGA NYUMBA YAKE YA VYUMBA 3 HEBU TUMUULIZE ALIJENGA WAKATI YUKO NA MUME AU KABLA?
Haaaa haaa wengine waume hawana nongwa hela unayo anaweza kwambia fanyia mambo yako sasa hapo ruhusa ninayo si unajenga tu, ila hajasema alijenga wakati gani!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Ulikosea kumkubalia mumeo tena mkiwa na lengo zuri la kuokoa pesa ili mjenge...kumbe hutaki(tabia isiyo njema) Jichunguze tabia hiyo na kisha usiioneshe kwa ndugu wa mumeo. Ukiweza hilo umefanikiwa.

Waoneshe upendo na imani ili wafanye hivyo pia kwako."Children react to kind treatment by becoming confident" kwa tafsiri isiyo rasmi...mtoto hubadilika na kuwa mwema kwa kumtendea ukarimu.

Jifunze kusema hapana kwenye HAPANA na unaposema ndiyo imaanishe NDIYO.
______ni hayo tu_________

Wakati mwingine mume huenda kaamua muishi kwao ili ujifunze maisha yao na desturi za kwao,yawezekana anataka kuongeza mahusiano yako na familia yake maana siku hizi baadhibya akina dada hawapendi ukweni kwao. Inawezekana ni kutokana na ugumu mulio nao au anakupa SOMO bila wewe kujua.

Kila la heri katika ndoa yako na maisha ya ukweni

Sent from KICHWA CHANGU mwenyewe
 
Kama hutakuwa comfortable mfanye utaratibu muhamie kwenu haraka, endeleeni kupanga hivyohivyo

Sent from my Lenovo TAB 2 A7-30H using JamiiForums mobile app
 
KUNA METHALI INASEMA HIVI:
"An idle person may have just three tasks;sleeping,eating and quarrelling"

Hivyo basi kama wakwe zako hawana shuhuli..tegemea ugomvi na lawama.

Suluhisho kataa kwenda kukaa..ni aibu kwa morani kurudisha mpira kwa kipa..mwambie mumeo akaze kamba.kuna vyumba vya bei poa tu.Huko kujenga sio suala la miezi miwili tu mmehamia.
 
Tena ni bora muendelee kulipa kodi mnaweza mkajopanga mkajenga na mkahamia kabla haijaisha vizuri,, huko mnakoenda mtaenda kuyavaa majukumu mtashindwa hata kujinunulia vocha, maana kama miaka yote mawifi wapo na mashemeji wapo ila mumeo ndo aliweza mkomboa mama !!!! Mhhh bora mkapange hata chumba na sebule mbagala

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo miaka minne ungempa saporti mume wako mngekuwa kwenu
ngoja ukaonje joto ya mawe;
Inashangaza sana, kama anafanya kazi siku sita kwa juma, mume wake naye ni mtafuta kipato, nini kimewashinda kuweka kibanda? Chako changu, changu changu system at work!

Ila ni jambo jema kuishi pamoja kwa umoja, acha jamaa ampime level ya busara na ustahimilivu alionao mke wake. Kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…