Naomba tupeane uzoefu wa kuishi nyumba moja na mama mkwe baba mkwe mashemji

Naomba tupeane uzoefu wa kuishi nyumba moja na mama mkwe baba mkwe mashemji

sio wanawake wote kama unavyofikiria mkuu laiti ungejua maisha ya wengine. na ukimsoma mleta mada amesema hata nyumba ambayo wanaishi wakwe naye alichangia tofauli kwa hiyo ni mtu anayeshiri kwenye pato la familia.

mkuu hakuna mtu ameponda kwenda kuishi ukweni isipokuwa mleta mada anapata kigugumizi kwenda kama ndivyo basi wajipange wote kama umenisoma vyema.......isitoshe mkuu familia zingine wakwe ni balaa unaweza kuona maisha magumu bora waendelee kupendana kama walivyo sasa.
Je Familia Ya Mumeo Ikijinga Mlikojenga Napo Utawakimbia?
 
Kwanza, ningependa kujua mazingira ya ukweni kwako.
Mnakwenda kuishi NYUMBA ya namna gani? MF chumba chako na mumeo kisha watoto wachanganyike na watoto wenzao au upande mmoja mtakuwa mnajitegemea kivyenu.au kuna vyumba vya kutosha lkn mnachangia baadhi ya mambo kama vile jiko.
Nikifahamu hayo ntakuwa na cha kuchangia
 
Sana tu mkuu, si unajua hawa viumbe kwa maneno. Kaka kakosa pakushika, kaona arudi home kwanza wakati akijipanga pia stress zipungue. Kuna mdau hapo juu kasema pengine mshahara wa kaka ni wa wote, ila wa dada ni wake. So inakuwa shida kidogo but kama wanashirikiana vizuri, hawawezi kushindwa kupata solution nzuri zaidi. Kurudi home naona kama last option kwangu maana kusudio lao ni kuwa na familia yao na kuvumiliana huku wakiwa tayari kukumbana na changamoto za dunia kwa hekima na mipango halali. Naona bidada ajaribu kumpa nafasi yake mmewe kama kumuweka wazi katika kile anachokipata nakinavyotumika huenda kaka anaona unamtumika na maneno juu. Jaribu pia kubadili huu utaratibu wa kulala lala wanaume wengi hatuipendi wengi huwa hatusemi, ingawa nikikukuta umellala mchana naona sawa tu.
HUYO DADA KASEMA ANAMILIKI NYUMBA YAKE YA VYUMBA 3 NA GARI ILA NASHANGAA AMEISHI NA BWANA WAKE KWENYE NYUMBA YAKUPANGA NA MUMEWE KAFURIA KAMUAMBIA WAKAKAE UKWENI NDO ...
 
Kwanza, ningependa kujua mazingira ya ukweni kwako.
Mnakwenda kuishi NYUMBA ya namna gani? MF chumba chako na mumeo kisha watoto wachanganyike na watoto wenzao au upande mmoja mtakuwa mnajitegemea kivyenu.au kuna vyumba vya kutosha lkn mnachangia baadhi ya mambo kama vile jiko.
Nikifahamu hayo ntakuwa na cha kuchangia
Ukweni Hakuna Kupika Tofauti Tofauti Sema Dada Huyu Mvivu Au Ana Mdomo Ndo Maana Kajishtukia Kwenda Sasa Ndo Aamue Aende Au Waachane
 
habari zenu wadau mm na baba watoto tulikua tunaishi ktk nyumba ya kupanga kwa muda wa miaka minne sasa ila anataka tukaishi kwao kwa kua kidogo kodi imepanda ili tusave tuweze kuanza kujenga makazi yetu sasa jamani naomba mnipe uzoefu wa kukaa na mama mkwe baba mkwe mashemeji na mawifi ndani ya nyumba mm nikiwa nina watoto wawili wadogo 3 years na 1 year mm ni mfanyakazi naenda kazini asubuhi jumatatu hadi ijumamosi siku yangu ni moja tu jumapili kiukweli mm sipo comfortable kuenda kulundikana kwenye nyumba moja yaani nipo nafuraha nikiwa naishi kwangu. si kama siwapendi ndugu wa mume lakini sipo comfortable. hebu nipeni mawazo yenu juu ya hii ishu.

naomba mwenye lugha ya kejeli afunge mdomo wake
Huyo mumeo dish limeyumba bila shaka aisee anaogopaje maisha kiasi hicho
 
asante sana mm binafsi nimejenga nyumba ina 3 bedrooms but haina umeme mm nipo tayari kwenda tukaishi kwenye hii nyumba yangu lakini mume wangu hataki kwa kua anadai ni mbali sana usafiri tunao ila hayupo tayari kuishi ktk nyumba niliyoijenga
anataka tukaishi kwao kwa kua hiyo nyumba ya kwao aliijenga yeye ila ndio familia yote ipo humo mm nitakua na room yangu tu
yaani nachokaje sijawahi kugombana na mkwe au wifi wala shemeji naishi nao vizuri na wananipenda ila kwa kua tupo mbalimbali na nijelewa na uwezo wa kuyapuuza maudhi madogo kwa kua tulikua tupo mbali mbali sasa ninawaendea chini ya miguu yao

uuuwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hii inaonesha wazi unashida kubwa maana kama isingelikuwa hivyo mumeo asingalikataa kwenda kusihi kwenye nyumba unayo jenga..... halafu pengine ulikuwa unajenga bila kumjulisha
 
HUYO DADA KASEMA ANAMILIKI NYUMBA YAKE YA VYUMBA 3 NA GARI ILA NASHANGAA AMEISHI NA BWANA WAKE KWENYE NYUMBA YAKUPANGA NA MUMEWE KAFURIA KAMUAMBIA WAKAKAE UKWENI NDO ...
Ohooo basi bora aende kwenye nyumba yake, kaka arudi kwao akajipange. So stupidity of these days. Case kama hii nimekutana nayo sijui huwa wanawaza nini hadi kuanza kufanya hivyo.
 
Inashangaza sana, kama anafanya kazi siku sita kwa juma, mume wake naye ni mtafuta kipato, nini kimewashinda kuweka kibanda? Chako changu, changu changu system at work!

Ila ni jambo jema kuishi pamoja kwa umoja, acha jamaa ampime level ya busara na ustahimilivu alionao mke wake. Kila la kheri
Na hapo ndo itakuwa hatima ya ndoa. Kama dada yangu anathamini ndoa nadhani aende hata mwaka harafu ndo wajipange kuondoka. Saizi ni mapema kuanza kuogopa, aende akaona upande mwingine ukoje. Pia mmewe nadhani kamheshimu sana!!
 
Ohooo basi bora aende kwenye nyumba yake, kaka arudi kwao akajipange. So stupidity of these days. Case kama hii nimekutana nayo sijui huwa wanawaza nini hadi kuanza kufanya hivyo.
Mke Anajenga Bila Mume Kujua
 
Hii inaonesha wazi unashida kubwa maana kama isingelikuwa hivyo mumeo asingalikataa kwenda kusihi kwenye nyumba unayo jenga..... halafu pengine ulikuwa unajenga bila kumjulisha
Mke Kajenga Bila Mume Kujua
 
Mhh! Inategemea aina ya wakwe. Ila kwa uzoefu hapo mnaenda kukaa nyumbani na mkubali kuwa kama watoto. Kwa mujibu wa vitabu vya dini fulani, inapasa mtu aachane na wazazi na aambatane na mkewe! Hapo mnaenda kuambatana na wazazi! Yatakayowapata simooo!

Sent from my BGO-DL09 using JamiiForums mobile app
 
Watataka uwe km robot wao kila kaz ufanye ww pale unapokua hauend kazn, watakucmanga, ukckia wamecheka bas unajihs n ww, ukwen kuna mambo meng.
Binafs ckushauri sn n bora muish ht chumba kimoja cha kupanga kuliko kwenda ukwen kwan kila rangi utaiona mpk mje mhamie kwenu,

Pili mkikaa kwenye nyumba ya wazaz mnaweza ht kusahau kujenga kwan kila shida itakayotokea watatuajibnnww na mumeo, kila cku matumiz n ww na mumeo.

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Mwambie mumeo aache kuogopa maisha kwani kuna nyumba zenye gharama nafuu mwaweza kwenda kukaa huko kuliko kwenda kuishi ukweni. Usithubutu kwenda kuishi ukweni kwa kigezo cha kutaka kujenga, mwambie mwenzio akubaliane na changamoto za maisha mwaweza kuwa juu ama kushuka chini ila kikubwa ni kupambana.
Wanawake liability hamjifichi lawama na kuona kila kitu mwenzio ndiyo chanzo..! Kibaya zaidi limited mind..
 
mwambie mtafute nyumba ya gharama ndogo kuliko hiyo mnayoishi, mkihamia kwao gharama za maisha za kila siku zitaongeza mara nyingi ataachiwa atoe matumizi yeye kiafrika ukioa tu wanahisi una uwezo, nunua mchele kilo mia na mahindi kilo mia weka ndani mafuta ya alizeti dumi nne za mwaka mzima
Bora ata wewe una constructive ideas..! Wanawake wengine kulaumu ( liability woman ni hatari sana)
 
Mhh! Usije ukaenda bora tu uendelee kupang mpka utakapo jenga maana utakapo enda kuish na ndugu wa mume inaweza ndo ikawa mwanz wa kugombana na ndug wa mume wako si unajua tena kila mtu ana emotion yake
 
Mwambie mumeo aache kuogopa maisha kwani kuna nyumba zenye gharama nafuu mwaweza kwenda kukaa huko kuliko kwenda kuishi ukweni. Usithubutu kwenda kuishi ukweni kwa kigezo cha kutaka kujenga, mwambie mwenzio akubaliane na changamoto za maisha mwaweza kuwa juu ama kushuka chini ila kikubwa ni kupambana.
Wa kujenga anajenga tu hata akiwa nyumba ya kupanga, huyu wake anatafuta sababu tu.
 
habari zenu wadau mm na baba watoto tulikua tunaishi ktk nyumba ya kupanga kwa muda wa miaka minne sasa ila anataka tukaishi kwao kwa kua kidogo kodi imepanda ili tusave tuweze kuanza kujenga makazi yetu sasa jamani naomba mnipe uzoefu wa kukaa na mama mkwe baba mkwe mashemeji na mawifi ndani ya nyumba mm nikiwa nina watoto wawili wadogo 3 years na 1 year mm ni mfanyakazi naenda kazini asubuhi jumatatu hadi ijumamosi siku yangu ni moja tu jumapili kiukweli mm sipo comfortable kuenda kulundikana kwenye nyumba moja yaani nipo nafuraha nikiwa naishi kwangu. si kama siwapendi ndugu wa mume lakini sipo comfortable. hebu nipeni mawazo yenu juu ya hii ishu.

naomba mwenye lugha ya kejeli afunge mdomo wake
[emoji121]
MKUU,

ACHA UCHOYO NA UROHO,
NASISITIZA,
ACHA KABISA!!!

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom