Sana tu mkuu, si unajua hawa viumbe kwa maneno. Kaka kakosa pakushika, kaona arudi home kwanza wakati akijipanga pia stress zipungue. Kuna mdau hapo juu kasema pengine mshahara wa kaka ni wa wote, ila wa dada ni wake. So inakuwa shida kidogo but kama wanashirikiana vizuri, hawawezi kushindwa kupata solution nzuri zaidi. Kurudi home naona kama last option kwangu maana kusudio lao ni kuwa na familia yao na kuvumiliana huku wakiwa tayari kukumbana na changamoto za dunia kwa hekima na mipango halali. Naona bidada ajaribu kumpa nafasi yake mmewe kama kumuweka wazi katika kile anachokipata nakinavyotumika huenda kaka anaona unamtumika na maneno juu. Jaribu pia kubadili huu utaratibu wa kulala lala wanaume wengi hatuipendi wengi huwa hatusemi, ingawa nikikukuta umellala mchana naona sawa tu.