Naomba ufafanuzi juu ya hawa wahamiaji (4) waliiomba uraia

Naomba ufafanuzi juu ya hawa wahamiaji (4) waliiomba uraia

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Nimeona taarifa zikienea mitandaoni juu ya raia wapya wale wanne walioomba na kukubaliwa na hawa tisa wanaoomba,

Kwa wasomi wetu naombeni ufafanuzi juu ya hili. Maana katika kila jambo katika dunia lina hasara na faida yake,.

Je, kama kunaweza kuwa na hasara hasara zake ni zipi katika taifa?

Na kama kuna faida je faida zake hasa mno ni zipi kwenye taifa?

Pia kwa upande wao kuna faida zipi hasa na kuna hasara gani?

Maana coment nyingi za kwenye mitandao wanaandika kimihemko tu sijaona mtu akitoa maelezo ya kiundani juu ya faida na hasara.

Asante
 
Nimeishia kusoma tu heading. Sijui shuleni mlienda kusomea nini ikiwa neno dogo tu kama uraia unaandika ulaia? Bado tuna safari ndefu sana
Ndugu mimi sikwenda shule. Wewe uliyeenda shule imetosha kuiendesha hii nchi.

Nakuomba sana nisaidie faida na hasara za hawa watu🙏🙏🙏
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Nimeona taarifa zikienea mitandaoni juu ya raia wapya wale wanne walioomba na kukubaliwa na hawa tisa wanaoomba,

Kwa wasomi wetu naombeni ufafanuzi juu ya hili. Maana katika kila jambo katika dunia lina hasara na faida yake,.

Je, kama kunaweza kuwa na hasara hasara zake ni zipi katika taifa?

Na kama kuna faida je faida zake hasa mno ni zipi kwenye taifa?

Pia kwa upande wao kuna faida zipi hasa na kuna hasara gani?

Maana coment nyingi za kwenye mitandao wanaandika kimihemko tu sijaona mtu akitoa maelezo ya kiundani juu ya faida na hasara.

Asante
We nyumbu pambana na maisha yako, upewe ufafanuzi na nani ukiwa km nani. Jitambue kijana
 
Eli wewe 😅😅🙌🏼
Eli wewe 😅😅🙌🏼

Naaam..
20250122_081418.jpg
 
Kwahio hii mutu imeurisa swali ya kipuusi, maana naona watu inaleta utani badala ya kujibu, au na yenyewe haijui?
 
Sisi WaAfrica ni wapumbavu sana...Mtu ameuliza jambo la msingi badala ya kumjibu apate kuelewa mnaona kuhangaika na kusahihisha uandishi wa maneno yake ndo jambo la msingi.....Stupid monkeys
 
Sisi WaAfrica ni wapumbavu sana...Mtu ameuliza jambo la msingi badala ya kumjibu apate kuelewa mnaona kuhangaika na kusahihisha uandishi wa maneno yake ndo jambo la msingi.....Stupid monkeys
Usiwalaumu sana usikute usomi wao umeishia hapo. Na sio kwenye hitaji langu.

Amini amini nakueleza kutambua hasara na faida kabla ya kuliendea jambo si wote wanaweza
 
Back
Top Bottom