Naomba ufafanuzi juu ya P2

Naomba ufafanuzi juu ya P2

Kwanza naomba kujua hii kazi ya ukahaba kwa huyu mwanamke ataacha lini.?

Mimba ya yule ambaye mbegu zake zimepokelewa.
Yawezekana ile mara ya kwanza haikuwa siku hatari ya kupata mimba hivyo bila hata hiyo P2 mzigo usingeingia and vice versa is true
 
Kwanza naomba kujua hii kazi ya ukahaba kwa huyu mwanamke ataacha lini.?

Mimba ya yule ambaye mbegu zake zimepokelewa.
Yawezekana ile mara ya kwanza haikuwa siku hatari ya kupata mimba hivyo bila hata hiyo P2 mzigo usingeingia and vice versa is true
Tuwaze kweli mimba imeshika kwa mara ya 1 kwel na kameza p2 then akafanya iyo sex ya pili. Je mimba itakuwa ya nani?
 
Kwanza naomba kujua hii kazi ya ukahaba kwa huyu mwanamke ataacha lini.?

Mimba ya yule ambaye mbegu zake zimepokelewa.
Yawezekana ile mara ya kwanza haikuwa siku hatari ya kupata mimba hivyo bila hata hiyo P2 mzigo usingeingia and vice versa is true
Maraya ni maraya siku zote😀😀😀
 
Ingekuwa amri yangu,
Marry these girls off soko la p2 life!!!
I get a daughter I marry her off as soon as possible!!!!
 
Naomba kuuliza:-

1. Hivi mwanamke akifanya sex na mwanaume 1 leo na akameza p2 then kesho kutwa ake akafanya tena sex na mwanaume wa 2 Ikatokea akawa na mimba je iyo mimba inakuwa ya mara ya 1 au mara 2?
Unauliza ukiwa rafiki wa huyo mwanamke au ndio unajiulizia?
 
Mnakera sana kwa tabia za umalaya.

P2 ukiimeza kabla ya yai kushuka inafanya yai lisishuke kwa siku kadhaa, mpaka likija kushuka basi mbegu zimeshakufa tayari.

Siku likishuka, baada ya kucheleweshwa na p2, na ukafanya mapenz tena ndani ya mwezi huohuo, let say wiki lijalo after sex iliyopita, Possible unapata mimba 100%.

Omba umeze p2 ukiwa na uhakika upo ktk ile danger, yaani Yai limeshashuka tayari kwani ukimeza hapo p2 itafanya yai lisijikite kwenye kuta za uzazi ili kurutubishwa mimba ianze kukua.

Ukishameza p2, usifanye ngono isiyo salama tena, tafuta condom fanya. Achana na masuala ya kumwagia nje, futa hii kitu kabisa. Tumia condom kwa usalama zaidi.
 
Nenda kituo cha afya utapewa ushauri mzr tena sku izi ni buree kushauriwa
Ila pia mshauri uyo dada atumie kondom ni salama zaid kulko p2
Kabisa mkuu condom ni salama zaidi. Kama mwanamke unaweza kukutana na wanaume wawili tofauti huo ni umalaya, tena unafanya nao kavu, huku ni kubebeshana magonjwa.

P2 ni very effective lakini ukienda nayo vizuri ktk ile kalenda nayo, pili ukiitumia tu, pumzika ata wiki mbili au wik na nusu ndo uje ufanye ngono isiyo salama tena. Mbali na hapo tumia condom tu.
 
Inategemea uzito na umoto wa mkojo kuna akina sisi hata manzi avae ladypepeta kipreg kinamuhusu
 
Naomba kuuliza:-

1. Hivi mwanamke akifanya sex na mwanaume 1 leo na akameza p2 then kesho kutwa ake akafanya tena sex na mwanaume wa 2 Ikatokea akawa na mimba je iyo mimba inakuwa ya mara ya 1 au mara 2?
Kumbuka pia, P2 haifanyi kazi unapokuwa umeshaanza ovulation
 
Kumbuka pia, P2 haifanyi kazi unapokuwa umeshaanza ovulation
Kazi kubwa ya p2 ni hii ...

1. Kuleta ukavu ukeni, endapo Yai litakuwa halijashuka, basi ule ukavu utasababisha Yai lisishuke.

2. Endapo Yai limeshashuka, basi ule ukavu utazuia Yai lililobeba mbegu lisiende ktk kuta za kizazi ili mimba kurutubishwa.
 
Mnakera sana kwa tabia za umalaya.

P2 ukiimeza kabla ya yai kushuka inafanya yai lisishuke kwa siku kadhaa, mpaka likija kushuka basi mbegu zimeshakufa tayari.

Siku likishuka, baada ya kucheleweshwa na p2, na ukafanya mapenz tena ndani ya mwezi huohuo, let say wiki lijalo after sex iliyopita, Possible unapata mimba 100%.

Omba umeze p2 ukiwa na uhakika upo ktk ile danger, yaani Yai limeshashuka tayari kwani ukimeza hapo p2 itafanya yai lisijikite kwenye kuta za uzazi ili kurutubishwa mimba ianze kukua.

Ukishameza p2, usifanye ngono isiyo salama tena, tafuta condom fanya. Achana na masuala ya kumwagia nje, futa hii kitu kabisa. Tumia condom kwa usalama zaidi.
Hatimaye nmepata jibu kamili
 
Back
Top Bottom