Naomba ufafanuzi kuhusu Afisa Hesabu Daraja la II (Account Officer II)

Hedaru2022

Member
Joined
Mar 26, 2022
Posts
10
Reaction score
15
Naomba ufafanuzi kuhusu sifa

Kuajiriwa wenye “Intermidiet Certificate” (Module D) inayotolewa na NBAA au sifa nyingine zinazolingana na hizo zinazotambulika na NBAA, Shahada ya Biashara au Sanaa aliyejiimarisha kwenye fani ya Uhasibu, Stashahada ya Juu ya Uhasibu kutoka taasisi yoyote inayotambuliwa na Serikali

Mimi nina Shahada ya Uhasibu ( BAF) lakini imeniambia Application FAILED
 
Shida ni hiyo accounts and finance,yani kuongezeka neno finance,system ya ajira portal iliyosetiwa na vilaza inaona unetoka nje ya degree ya accounts
 
Piga simu watarekebisha
 
Wamesharekebisha mzee never doubt BAF kwenye issue za Account, Auditing,Finance na Taxation Hawa watu Ni wakali wa hzi mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…