RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Sasa mkuu 250,000/- kwa nyumba ambayo itagharimu 25-50m ni nyingi? Tafuta kibali ujenge kwa amani tena washakuja kukuzuia,usikiuke ndugu yangu.laki 2 na nusu,nyumba vyumba 4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu 250,000/- kwa nyumba ambayo itagharimu 25-50m ni nyingi? Tafuta kibali ujenge kwa amani tena washakuja kukuzuia,usikiuke ndugu yangu.laki 2 na nusu,nyumba vyumba 4
Kwa sasa kila sehemu za migango miji wanafuatilia sanaKibali cha ujenzi inategemea uko wapi!
Hahahaha...sasa mwenyekiti wa mtaa atajuaje kuwa sina kibali?Wasipo kusitukia basi umepona lakini kwa vyovyote vile utasitukiwa tu maana mwenyekiti wako wa mtaa ndiye atakaye wasitua coz kunamgao wake mle
Point mkuu, noted.Wanapotezea. Kama eneo halijapimwa hawafuatilii sana, ila kama eneo lako limepimwa hakuna sababu ya kutafuta matatizo.
Sema ni basi tu nchi hii sheria mbovu sana, hiyo hera inaweza nunua hata tripu moja ya kokoto,au mchangaSasa mkuu 250,000/- kwa nyumba ambayo itagharimu 25-50m ni nyingi? Tafuta kibali ujenge kwa amani tena washakuja kukuzuia,usikiuke ndugu yangu.
Anawaita wao wanakuja kuhakikisha kama unacho au haunaHahahaha...sasa mwenyekiti wa mtaa atajuaje kuwa sina kibali?
Asikwambie mtu pesa uitafute kwa msoto mjinga mmoja tu aliyekaa officen aje aichukue kiuraini, sio poaHaya mambo yanachanganya sana ...watu wengi nawafahamu wamejenga bila kibali
Sasa sijui mtu uchague lipi[emoji848]
Kumbe ni mwendo wa kuwindana!? Hahah...but kuepuka kutokujiamini, ni bora kibali tu ili yaishe kama alivyosema mkuu RRONDOAnawaita wao wanakuja kuhakikisha kama unacho au hauna
Labda km wewe afsa ardhi unaishi ndani ya ikulu njoo ubomoe...nimelipia hati ya urasimishaji ardhi huu mwaka wa nne hamjaja kupima halafu ndio ujifanye kukimbilia kubomoa ...utakuwa unaoza kiungo kimojakimoja Cha mwilini mwako mpk unakufa mbwa wewePorojo? Ajenge bila kibali tuje tumshike makalio kama ulivyoshikwa wewe wakati ule. Sawa bwana mdogo?
Ndo hivo mkuu utafanyaje sasa[emoji848]Asikwambie mtu pesa uitafute kwa msoto mjinga mmoja tu aliyekaa officen aje aichukue kiuraini, sio poa
Kama nyumba imekamilika na umeamia haina shidaJe wasipokushtukia mpaka umemaliza kujenga...umehamia...
Watakuja tena kusema "ulijengaga bila kibari au?
Faini ndio imekula helaWeee nyumba yangu ya kawaida ya chini wamenilima tsh.370,000 kibali pamoja na faini 200,000 kujenga bila kubali
Itakuwa kila sehemu labda ina 'rate' zakelaki 2 na nusu,nyumba vyumba 4
Upo sahihi. Amalizane na Manispaa kwa kupata kibali Cha ujenzi. Otherwise watamsumbua huko mbele.Huo ni utaratibu lazima ufuatwe. Kiwanja chako kimepimwa,kina hati mbona zoezi la kawaida hilo. Nenda manispaa kaombe kibali,tena walioweka zuio ndio watakusaidie. Usikaidi hilo zuio utajitafutia matatizo.
Kweli mkuuItakuwa kila sehemu labda ina 'rate' zake
[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2]Labda km wewe afsa ardhi unaishi ndani ya ikulu njoo ubomoe...nimelipia hati ya urasimishaji ardhi huu mwaka wa nne hamjaja kupima halafu ndio ujifanye kukimbilia kubomoa ...utakuwa unaoza kiungo kimojakimoja Cha mwilini mwako mpk unakufa mbwa wewe
Wanapima sqm ya nyumba kujua thamni ya.nyumba mpaka ikikamilika ndio wanajua ni kiasi gani unatakiwa kulipa mavaluer wa manispaa ndio wanafanya kushirikiana ma ma engineer wa manispaaItakuwa kila sehemu labda ina 'rate' zake
ukubari ### ukubaliMkuu ukubari ukatae huu ni wizi wa kalamu kawa ulivyo wizi mwingine, maana sioni haja ya kibari kwa nyumba za kawaida tofauti na kujenga ghorofa.
Afuate mipango miji iliyopo. Vinginevyo ukisimamisha (sio dushelele) ukuta wa nyumba pamoja na kuezeka bila ruhusa, zinaweza kubomolewa. Fuata sheria zilizopo, fika ofisi husika.Mkuu, mtu akijenga bila kibali atakumbwa na nini? Naomba ufafanuzi