Naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya Bsc in Range Management

Naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya Bsc in Range Management

Bora uchange na ulipie hyo hela kuliko umalize chuo kazi hupati,una mwambia mtu umesoma Range atakuelewa. Mleta mada akifika chuo abadilishe
[/QUOTE

Nayo Ni probability mkuu tena usinikumbushe pale SUA .
 
Sawa mkuu nimekuelewa lakini nasikia ukichange coz mzigo wa loan unasumbua kuhamisha mkuu!
Ni chuo kimoja wala hata haitakusumbua sana mkuu ila hata kama utapata changamoto kuhamisha loan. Muhimu sana usisome hyo cozi.... Hyo coz ipo campus ya mazimbu so kama utaomba kuhamia coz za maini au educatiom kama ulivyosema kuhamisha mkop wont be a big deal... Kwani ulisoma combination gani
 
Sikuwahi kuifikiria na nilijaza chaguo la mwisho kwaajili ya kufill space, datz y nimekuja hapa nipate mwanga about dis coz mkuu!
Kosa kubwa wanalofanya vijana wengi ni kujaza kwajili ya kukamilisha nafasi..that is your life, you should have filled it while conscious and serious...kuna rafiki yangu mmoja amechaguliwa EDUCATION udsm halafu anasema kusoma education sio ndoto yake..sasa nikamuuliza uliijaza ya nn akakosa jibu....some people are funny 😃
 
Sikuwahi kuifikiria na nilijaza chaguo la mwisho kwaajili ya kufill space, datz y nimekuja hapa nipate mwanga about dis coz mkuu!
Badili Sasa Hivi Usisubiri Kwenda Chuo ndio Ubadili ila wanasoma Wengi hata Ambao sio Equivalent Ambao ni Equivalent inaitwa Extension
 
Mkuu hyo koz wanasoma equivalents ndio wengi na most of them ni employed ww kama ni form six liver trust me hapo u will be wastin ur tym kama umefaulu vyema omba kubadili coz
Mkuu acha kumpotosha huyu bwana mdogo, naona umechanganya kozi ambazo wanasoma watu wa equevalent wengi!
Kozi ambayo wanasoma watu wa equevalent pale sua tena waliotoka kazini ni kozi inaitwa BSC IN AGRICULTURE EXTENSION ila hiyo kozi ya BSC RANGE MANAGEMENT wanasoma watu wa wa form six tena wengi sana equivalent unaweza wakuta wako 10 kati ya wanafunzi 200!
Wewe kama unataka kubadili kozi kwa sababu hujaipenda kabadili ila siyo kwamba kigezo kiwe kwa sababu wanasoma watu wa equevalent, siyo kweli!! Ukitaka kuhakikisha mkuu PITIA majina ya waliochaguliwa hiyo kozi yako ya RANGE uone waliotokea diploma ni wangapi ndo utakuja kuniambia hapa! Walio na registration RM/D hao ni wa direct na walio na RM/E hao ni equevalent
 
Nabadilije sasa ivi mkuu?
Itabidi uwahi siku ya kwanza tu uwepo pale mazimbu tena itabidi ufike siku ya jpili ili jtatu usajiri ukianza uwahi kufanya na wakupe utaratibu
TAHADHARI " utambue kwamba ukibadili kozi majibu yanachukua kama mwezi 1 au na kuzidi kwa hiyo mda ambao unasubiria majibu yatoke utakua unaendelea kusoma kwenye kozi hiyo ya RANGE na majibu yakitoka kwamba umehamishiwa kozi uliyoomba utakuta washatangulia sana na hata mitihani "test na assignment" washafanya kwa hiyo itakubidi kuanza kuhangaika vya kutosha kufanya hiyo mitihani ambayo hujasoma na kuelewa na unajikuta unapata marks za chini mno ila kwa hilo itategemea na kichwa chako!
Kingine utaanza kusumbuka kuzoeana na watu mpaka kuja kuzoea na kupata wadau wa kusoma nao itakua vigumu maana wenzio wanajuana ile siku za mwanzoni na wanajiunda kwenye magroup! Ndugu nakushauri ukitaka kubadili kozi fatilia vizuri sana ujue madhara yake kwa undani.
 
Kwa kuongezea itabidi uhangaike kutafuta watu wa kukufundisha masomo ambayo hukusoma kwa hiyo itabidi uwe na wadau wengi maana itakua uongo kwamba ukihamia ukamtafuta mtu mmoja akufundishe atakua anajua masomo yote kwa kina, hapo itakubidi uwe unachamgamana na watu vizuri na kuwapata watu wa kukufundisha masomo yote itakua changamoto maana na wao wanakua wanakimbizana na masomo plus assignment na test kwa hiyo jipange sana usifikirie kubadili kozi ni kitu cha mchezo pale sua.
 
Nabadilije sasa ivi mkuu?

Mkuu acha kumpotosha huyu bwana mdogo, naona umechanganya kozi ambazo wanasoma watu wa equevalent wengi!
Kozi ambayo wanasoma watu wa equevalent pale sua tena waliotoka kazini ni kozi inaitwa BSC IN AGRICULTURE EXTENSION ila hiyo kozi ya BSC RANGE MANAGEMENT wanasoma watu wa wa form six tena wengi sana equivalent unaweza wakuta wako 10 kati ya wanafunzi 200!
Wewe kama unataka kubadili kozi kwa sababu hujaipenda kabadili ila siyo kwamba kigezo kiwe kwa sababu wanasoma watu wa equevalent, siyo kweli!! Ukitaka kuhakikisha mkuu PITIA majina ya waliochaguliwa hiyo kozi yako ya RANGE uone waliotokea diploma ni wangapi ndo utakuja kuniambia hapa! Walio na registration RM/D hao ni wa direct na walio na RM/E hao ni equevalent
nashukuru sana kwa ushuri, ubarikiwe
 
Kwa kuongezea itabidi uhangaike kutafuta watu wa kukufundisha masomo ambayo hukusoma kwa hiyo itabidi uwe na wadau wengi maana itakua uongo kwamba ukihamia ukamtafuta mtu mmoja akufundishe atakua anajua masomo yote kwa kina, hapo itakubidi uwe unachamgamana na watu vizuri na kuwapata watu wa kukufundisha masomo yote itakua changamoto maana na wao wanakua wanakimbizana na masomo plus assignment na test kwa hiyo jipange sana usifikirie kubadili kozi ni kitu cha mchezo pale sua.
duh long process but haina shida, nashukuru sana
 
Back
Top Bottom