50,000 na hatima ya maisha yako? chagua kwa busaraNilisikia kuchange kozi hasa pale SUA ni very complication also unalipia 50,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
50,000 na hatima ya maisha yako? chagua kwa busaraNilisikia kuchange kozi hasa pale SUA ni very complication also unalipia 50,000
Labda Saniniu Laizer ampe ajira kwenye ranch zake 😂😂😂 ila kwa Meko atakunywa sana Spa leta bar😂Hakuna kozi isiyo na ajira we soma tu
Toa sababuMara mia na education mkuu... Equivalent ni wenye diploma ndugu na mostly wanaosoma na wenye diploma za mifugo au range yenyewe... Bora hata education ukiwa mjanja hutakufa njaa ila hyo range kwa ushauri wangu dont persue it...
Huko ndo kwenue ajira. Na kujiajiri pia hasa kunenepesga mifugi. Kwa sasa hakuna kozi yenye uhakika wa kuajiriwa. Hiyo kozi itamlipa kama atatoka nje ya box kimawazo. Atakujankufuga kitaalamu katika eneo dogo hasa kunenepesha mifugo.Labda Saniniu Laizer ampe ajira kwenye ranch zake 😂😂😂 ila kwa Meko atakunywa sana Spa leta bar😂
Dah kama mwaka 2020 alikuwa anapata spana namna iyo vp mwaka huu huyo kijana asisome iyo kozi ingawa kwa ss kozi zote n ngumu kwenye ajira ila nyengine zina afadhali kwenye kujiajiri mwenyewKijana wangu ame pata hiyo kozi
Mwambie asipoteze mudaKijana wangu ame pata hiyo kozi
Mkuu hii kozi unaweza ukaiona ila ukaidharau sana....ni bonge moja la kozi kifursa za nchi za nje....Ukisoma SUA pale ukishamaliza pambania upate intern nchi za nje,, Denmark, polland, Norway, Germany n.k hakika hutojutia kwan ndio utakua mwanzo wa kuuaga umasikini..Ndio mkuu niliweka tu chaguo la tano nilijua hawatonichagua huko!
Kabisa zile intern zinawapa watu hela sana.Mkuu hii kozi unaweza ukaiona ila ukaidharau sana....ni bonge moja la kozi kifursa za nchi za nje....Ukisoma SUA pale ukishamaliza pambania upate intern nchi za nje,, Denmark, polland, Norway, Germany n.k hakika hutojutia kwan ndio utakua mwanzo wa kuuaga umasikini..
Am talking from experience coz nina ndugu zangu wako huko sasa.
Hivi mnaielewa hiyo kozi kweli au mnaropoka tu?Dah kama mwaka 2020 alikuwa anapata spana namna iyo vp mwaka huu huyo kijana asisome iyo kozi ingawa kwa ss kozi zote n ngumu kwenye ajira ila nyengine zina afadhali kwenye kujiajiri mwenyew
Asante mkuu, naona kuna watu wa hovyo wanaangalia jina la kozi wanaona kama haifai. Ina wigo mpana sana ukitaka kwenda masters na kozi zake ni zile hot cake kwa sasa hivi! Halafu uzuri sasa hivi imeingizwa kwenye ajira sawa na watu waliosoma animal science.Mkuu hii kozi unaweza ukaiona ila ukaidharau sana....ni bonge moja la kozi kifursa za nchi za nje....Ukisoma SUA pale ukishamaliza pambania upate intern nchi za nje,, Denmark, polland, Norway, Germany n.k hakika hutojutia kwan ndio utakua mwanzo wa kuuaga umasikini..
Am talking from experience coz nina ndugu zangu wako huko sasa.
JichanganyeAsante mkuu, naona kuna watu wa hovyo wanaangalia jina la kozi wanaona kama haifai. Ina wigo mpana sana ukitaka kwenda masters na kozi zake ni zile hot cake kwa sasa hivi! Halafu uzuri sasa hivi imeingizwa kwenye ajira sawa na watu waliosoma animal science.
Ndiyo hivyo mkuu, mimi naongelea kitu ninachokifahamu maana na mimi pia ni member wa chama cha wataalam wa nyanda za malisho Tanzania. Wengi humu ni hearsay!Jichanganye
Unachokuongea ni kwl kizuri ila changamoto iliyopo sasa ni competition kubwa ya wanafunzi ,tuvute picha ndogo mwanafunzi WA range akikosa intern nje ya nchi kazi bongo za malisho sehemu Gani ataajiriwa au atajiajiri miguu yote miwili.Inakuwa ni ngumu sana kwaoNdiyo hivyo mkuu, mimi naongelea kitu ninachokifahamu maana na mimi pia ni member wa chama cha wataalam wa nyanda za malisho Tanzania. Wengi humu ni hearsay!
Mkuu ya kujiajiri inategemea na mtu mwenyewe. Sasa hivi kuna hamasa kubwa sana kufanya unenepeshaji wa ng'ombe kibiashara. Hiyo yote inamhusu mtu wa Range Management maana amekuwa amejifunza maswala ya business plan development, feed formulation, meat production from ruminant animals.Unachokuongea ni kwl kizuri ila changamoto iliyopo sasa ni competition kubwa ya wanafunzi ,tuvute picha ndogo mwanafunzi WA range akikosa intern nje ya nchi kazi bongo za malisho sehemu Gani ataajiriwa au atajiajiri miguu yote miwili.Inakuwa ni ngumu sana kwao
Sawa Unaona kwanza tunapoachana inategemea na mtu mwenyewe,Yaani yote uliyotataja yanahitaji hela na Watu sasa mtu kwao huko Sigimbi ndani ndani haya atayapatia wapi tofauti na KADA kama ualimu,kilimo n.kMkuu ya kujiajiri inategemea na mtu mwenyewe. Sasa hivi kuna hamasa kubwa sana kufanya unenepeshaji wa ng'ombe kibiashara. Hiyo yote inamhusu mtu wa Range Management maana amekuwa amejifunza maswala ya business plan development, feed formulation, meat production from ruminant animals.
Kama kwa kada kama Ualimu ni rahisi kujiajiri mbona kutwa kuchwa tunapambana na vijana mtaani wanalia ajira na degree zao za ualimu? Sina hakika kama kuna kada utaenda mikono mitupu useme utaweza kujiajiri!Sawa Unaona kwanza tunapoachana inategemea na mtu mwenyewe,Yaani yote uliyotataja yanahitaji hela na Watu sasa mtu kwao huko Sigimbi ndani ndani haya atayapatia wapi tofauti na KADA kama ualimu,kilimo n.k
Najaribu tu kukuonyesha changamoto ,ila naamini pia kutoboa ni kokote