X-trail nayo utasema una gari?
Acha dharau mkuu.Extrail ya halali ina thamani kubwa na ni tamu zaidi kuliko V8 uliyoipata kifisadi au kwa njia ya kumwaga damu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
X-trail nayo utasema una gari?
Carbon fibre Hawa wabongo wanayo? Au ndo kujaza vyuma na puti tu?Upgrade nzuri ni ya kutumia carbon fibre sio yale machuma wanayoyatumia
Asantee Sanaa kakaaAcha dharau mkuu.Extrail ya halali ina thamani kubwa na ni tamu zaidi kuliko V8 uliyoipata kifisadi au kwa njia ya kumwaga damu
shida ya hizi upgrades za kibongo nyingi baada ya muda mfupi huanza kuchoka vibaya sana.....yaani utashangaa gari inatoka maalama ya rangi kupauka, kubanduka,sehemu kadhaa huanza kuachia hasa kwenye maungio.Safiii
Rangi ndio huwa haikai yani puti lazma ibanduke na sehemu za maungio ndio majanga..shida ya hizi upgrades za kibongo nyingi baada ya muda mfupi huanza kuchoka vibaya sana.....yaani utashangaa gari inatoka maalama ya rangi kupauka, kubanduka,sehemu kadhaa huanza kuachia hasa kwenye maungio.
Hivi hamna utaalamu wa kutengeneza kwa fiber hizi bamper? Zinapendeza sana, tatizo material
Wenye v8 hata ya kifisadi hawaandiki comment za namna hiyo, huyo ni mpuuzi tu mmoja hana hata pikipiki ana stress tu...Acha dharau mkuu.Extrail ya halali ina thamani kubwa na ni tamu zaidi kuliko V8 uliyoipata kifisadi au kwa njia ya kumwaga damu
Hii ndiyo Jamii forum mkuu...Wenye v8 hata ya kifisadi hawaandiki comment za namna hiyo, huyo ni mpuuzi tu mmoja hana hata pikipiki ana stress tu...
Acha tu Kaka.
Binadam ni shida
Hahahahahaha! Kweli mkuu!Hii ndiyo Jamii forum mkuu...
Kila mtu ni CEO wa kampuni ya Gesi na Mafuta...
Xtrail mkombozi wa wanyongeWatu kama wewe unaweza kukuta hata [emoji2186][emoji605] hauna.
Heshimu mali ya mtu.
Hata kama JF hatujuani hiyo isiwe sababu ya kudharau kitu cha mtu [emoji28]
kivipi mkuu hebu fafanuaXtrail mkombozi wa wanyonge
Labda ungesema IST ndo mkombozi wa wanyongeXtrail mkombozi wa wanyonge
Hamia kwenye klugerWakuu nimegraduate kwenye Sedan nataka niingie SUV niende na ipi? Kwa bajeti ya 8000USD?
Toyota wana taarifa na hiliHapo Sheria inasemaje Bush lawyer?
Hahahah fibre zipo wanamix vimiminika inatokea shapes tofauti mwenyewe nataka nikasuke bumper langu na fibre😅😅😅Carbon fibre Hawa wabongo wanayo? Au ndo kujaza vyuma na puti tu?
Mcheki rider car paints and upgrade
Mkuu we unasema hivo wengine hata toroli hamna na bado mtu umepanga, na dream car ni Toyota starlet au ist ilimradi unatembea umekaa, dunia hii....X-trail nayo utasema una gari?