Naomba ufafanuzi kuhusu Tractors zilizotumila Afrika Kusiniin South Africa

Naomba ufafanuzi kuhusu Tractors zilizotumila Afrika Kusiniin South Africa

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,647
Reaction score
9,604
Kuna makampuni mengi South Africa yanauza matekta na zana za kilimo kwa bei ambayo sio mbaya sana huku yakiwa kwenye ubora mzuri.

Kwa wenye ujuzi au waliowahi kununu vip ubora wake upoje na pia kuna changamoto gani kwenye hizo zana za kilimo.?

FB_IMG_1634280023084.jpg
FB_IMG_1634280015621.jpg
FB_IMG_1634280006691.jpg
Screenshot_20211015-093837_Facebook.jpg
Screenshot_20211015-094150_Facebook.jpg
 
Nyie wajuzi mmejificha wapi?
Mleta mada fanya kahuruma tuwekee Bei kwa Tshs nashindwa kukokotoa Rand kwa Shs tafadhali
 
Nyie wajuzi mmejificha wapi?
Mleta mada fanya kahuruma tuwekee Bei kwa Tshs nashindwa kukokotoa Rand kwa Shs tafadhali
Hiyo kampuni ya Agricom ipo TZ lakini inauza matrekta mapya tu na choice ni kati ya Swaraj (India) na Kubota (Japan). Mimi nimenuanua Swaraj 855 (55 hp), kwa millioni 36,000 za Kitanzania. Kumbuka materkta hayana kodi TZ kwa hiyo bei za TZ ni chini kuliko nchi nyingi.. Ukiagiza zee toka SA utauziwa na kodi yao.

Kwa vile nilikuwa sina pesa ya kutosha, nililipa millioni 22, na millioni 14 ukawa mkopo wa riba ya 15 kwa mwaka mmoja. Majembe nitanunua baada ya kumaliza kulipia trekta. Jembe 3 ni millioni 5, na trailer millioni 7.5. Ukiagiza SA, ukalipia usafiri mpaka kufika TZ hiyo pesa inaweza kutosha kununua Swaraj 855 (55 hp) mpya. Ukinunua trekta kwa r200,000 ni sawa na tsh millioni 32. Ukiongeza millioni kwa cash au mkpo unapata Swaraj mpya.

Swaraj inatengenezwa na kampuni ya matrekta ya Mahindra. Mahindra ni ya tatu kwa mauzo USA. Waliyonunua Swaraj wanaisifu kwa matumizi mazuri ya mafuta na bei nafuu za vipuri. Google Agricom uwatafute. Wana offisi za kanda Dar, Morogorio, Kahama, na Mbeya. Try them, you will not regret. I need to declare that I am not affiliated with Agricom TZ but I am their customer.
 
Hiyo kampuni ya Agricom ipo TZ lakini inauza matrekta mapya tu na choice ni kati ya Swaraj (India) na Kubota (Japan). Mimi nimenuanua Swaraj 855 (55 hp), kwa millioni 36,000 za Kitanzania. Kumbuka materkta hayana kodi TZ kwa hiyo bei za TZ ni chini kuliko nchi nyingi.. Ukiagiza zee toka SA utauziwa na kodi yao.

Kwa vile nilikuwa sina pesa ya kutosha, nililipa millioni 22, na millioni 14 ukawa mkopo wa riba ya 15 kwa mwaka mmoja. Majembe nitanunua baada ya kumaliza kulipia trekta. Jembe 3 ni millioni 5, na trailer millioni 7.5. Ukiagiza SA, ukalipia usafiri mpaka kufika TZ hiyo pesa inaweza kutosha kununua Swaraj 855 (55 hp) mpya. Ukinunua trekta kwa r200,000 ni sawa na tsh millioni 32. Ukiongeza millioni kwa cash au mkpo unapata Swaraj mpya.

Swaraj inatengenezwa na kampuni ya matrekta ya Mahindra. Mahindra ni ya tatu kwa mauzo USA. Waliyonunua Swaraj wanaisifu kwa matumizi mazuri ya mafuta na bei nafuu za vipuri. Google Agricom uwatafute. Wana offisi za kanda Dar, Morogorio, Kahama, na Mbeya. Try them, you will not regret. I need to declare that I am not affiliated with Agricom TZ but I am their customer.
Safi sana upo vema
 
Kuna makampuni mengi South Africa yanauza matekta na zana za kilimo kwa bei ambayo sio mbaya sana huku yakiwa kwenye ubora mzuri.

Kwa wenye ujuzi au waliowahi kununu vip ubora wake upoje na pia kuna changamoto gani kwenye hizo zana za kilimo.?

View attachment 1974930View attachment 1974932View attachment 1974934View attachment 1974935View attachment 1974938
Kabla ya kuagiza pitia ubalozi wa Tanzania uliiko Afrika Kusini, afisa biashara nadhani atakuwepo akuthibitishie kama muuzaji yupo kweli na bidhaa ipo kwenye ubora uliotajwa.
 
Nimecheki hapa kwa leo rand 1 ni 152.472tsh, so utapiga hesabu apo mwenyewe kwa hiyo hela yako ya kibongo itakuwa rand ngapi ,,, sina ninalolijua kwenye matractor isipokuwa tractor nyingi zinazotumika huku s.a ni john deere,,, nafikiri hizi ndio bora zaidi na ndio maana makaburu wanazipenda sana ,,, sijui kuhusiana na bei wala usafirishaji wake.
 
Hiyo kampuni ya Agricom ipo TZ lakini inauza matrekta mapya tu na choice ni kati ya Swaraj (India) na Kubota (Japan). Mimi nimenuanua Swaraj 855 (55 hp), kwa millioni 36,000 za Kitanzania. Kumbuka materkta hayana kodi TZ kwa hiyo bei za TZ ni chini kuliko nchi nyingi.. Ukiagiza zee toka SA utauziwa na kodi yao.

Kwa vile nilikuwa sina pesa ya kutosha, nililipa millioni 22, na millioni 14 ukawa mkopo wa riba ya 15 kwa mwaka mmoja. Majembe nitanunua baada ya kumaliza kulipia trekta. Jembe 3 ni millioni 5, na trailer millioni 7.5. Ukiagiza SA, ukalipia usafiri mpaka kufika TZ hiyo pesa inaweza kutosha kununua Swaraj 855 (55 hp) mpya. Ukinunua trekta kwa r200,000 ni sawa na tsh millioni 32. Ukiongeza millioni kwa cash au mkpo unapata Swaraj mpya.

Swaraj inatengenezwa na kampuni ya matrekta ya Mahindra. Mahindra ni ya tatu kwa mauzo USA. Waliyonunua Swaraj wanaisifu kwa matumizi mazuri ya mafuta na bei nafuu za vipuri. Google Agricom uwatafute. Wana offisi za kanda Dar, Morogorio, Kahama, na Mbeya. Try them, you will not regret. I need to declare that I am not affiliated with Agricom TZ but I am their customer.
Sio kweli tractor jembe na tela kutoka South Africa Massey Ferguson 375 ni million kumi na tisa unaletewa mpaka dar
 
Nimecheki hapa kwa leo rand 1 ni 152.472tsh, so utapiga hesabu apo mwenyewe kwa hiyo hela yako ya kibongo itakuwa rand ngapi ,,, sina ninalolijua kwenye matractor isipokuwa tractor nyingi zinazotumika huku s.a ni john deere,,, nafikiri hizi ndio bora zaidi na ndio maana makaburu wanazipenda sana ,,, sijui kuhusiana na bei wala usafirishaji wake.
Suala la bei ji kweli zipo chini na usafirishaji sio shida sana.
Shida ipo kujua je ni kweli hizo tractor zina ubora na pia je hakuna utapeli kwenye hiyo biashara?
 
Hiyo kampuni ya Agricom ipo TZ lakini inauza matrekta mapya tu na choice ni kati ya Swaraj (India) na Kubota (Japan). Mimi nimenuanua Swaraj 855 (55 hp), kwa millioni 36,000 za Kitanzania. Kumbuka materkta hayana kodi TZ kwa hiyo bei za TZ ni chini kuliko nchi nyingi.. Ukiagiza zee toka SA utauziwa na kodi yao.

Kwa vile nilikuwa sina pesa ya kutosha, nililipa millioni 22, na millioni 14 ukawa mkopo wa riba ya 15 kwa mwaka mmoja. Majembe nitanunua baada ya kumaliza kulipia trekta. Jembe 3 ni millioni 5, na trailer millioni 7.5. Ukiagiza SA, ukalipia usafiri mpaka kufika TZ hiyo pesa inaweza kutosha kununua Swaraj 855 (55 hp) mpya. Ukinunua trekta kwa r200,000 ni sawa na tsh millioni 32. Ukiongeza millioni kwa cash au mkpo unapata Swaraj mpya.

Swaraj inatengenezwa na kampuni ya matrekta ya Mahindra. Mahindra ni ya tatu kwa mauzo USA. Waliyonunua Swaraj wanaisifu kwa matumizi mazuri ya mafuta na bei nafuu za vipuri. Google Agricom uwatafute. Wana offisi za kanda Dar, Morogorio, Kahama, na Mbeya. Try them, you will not regret. I need to declare that I am not affiliated with Agricom TZ but I am their customer.
Uko sahihi ila upo nje ya mada kidogo mkuu naona unatupa plan B wakati palan A haijafeli.
Umekua kama marketing manager wa Swaraj tractor.
 
Hiyo kampuni ya Agricom ipo TZ lakini inauza matrekta mapya tu na choice ni kati ya Swaraj (India) na Kubota (Japan). Mimi nimenuanua Swaraj 855 (55 hp), kwa millioni 36,000 za Kitanzania. Kumbuka materkta hayana kodi TZ kwa hiyo bei za TZ ni chini kuliko nchi nyingi.. Ukiagiza zee toka SA utauziwa na kodi yao.

Kwa vile nilikuwa sina pesa ya kutosha, nililipa millioni 22, na millioni 14 ukawa mkopo wa riba ya 15 kwa mwaka mmoja. Majembe nitanunua baada ya kumaliza kulipia trekta. Jembe 3 ni millioni 5, na trailer millioni 7.5. Ukiagiza SA, ukalipia usafiri mpaka kufika TZ hiyo pesa inaweza kutosha kununua Swaraj 855 (55 hp) mpya. Ukinunua trekta kwa r200,000 ni sawa na tsh millioni 32. Ukiongeza millioni kwa cash au mkpo unapata Swaraj mpya.

Swaraj inatengenezwa na kampuni ya matrekta ya Mahindra. Mahindra ni ya tatu kwa mauzo USA. Waliyonunua Swaraj wanaisifu kwa matumizi mazuri ya mafuta na bei nafuu za vipuri. Google Agricom uwatafute. Wana offisi za kanda Dar, Morogorio, Kahama, na Mbeya. Try them, you will not regret. I need to declare that I am not affiliated with Agricom TZ but I am their customer.
Very helpful comrade

Good reason ya kuipenda JF
 
Back
Top Bottom