ahmed omar
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 270
- 215
Wanapatikana Google andika used tractor South Africa utaona wako wengi bei poa wanaleta mpaka dartupe mwanga zaidi kuhusu hilo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapatikana Google andika used tractor South Africa utaona wako wengi bei poa wanaleta mpaka dartupe mwanga zaidi kuhusu hilo mkuu
Tunaomba link ya kampuni iliyokuletea mpaka Dar ili tufanye mambo ya uhakika tutoe ushuhuda. Maneno yamekuwa mengi kuliko vitendoSio kweli tractor jembe na tela kutoka South Africa Massey Ferguson 375 ni million kumi na tisa unaletewa mpaka dar
Pia ni Muhimu kujua hizo tractor unanunua kwa ajili ya matumizi ya kilimo au vinginevyo., Maana hizo tractor ni Kubwa sana Kama ni kwaajili ya kilimo tu..na uendeshaji wake ni wa gharama..Suala la bei ji kweli zipo chini na usafirishaji sio shida sana.
Shida ipo kujua je ni kweli hizo tractor zina ubora na pia je hakuna utapeli kwenye hiyo biashara?
Search kwa googleTunaomba link ya kampuni iliyokuletea mpaka Dar ili tufanye mambo ya uhakika tutoe ushuhuda. Maneno yamekuwa mengi kuliko vitendo
asante mkuu.
Kweli kabisa mdau na meli yenye uhakika zaidi from south to dar port ni ya kampuni ya messina hii inabeba kontena au hoegh zile za wanorway zinazobeba magari...Logistics za kulileta bongo Sasa ndio kimbembe.
Meli za kutoka South Africa to Dar ni chache Sana, na kusafirisha kwa truck ni gharama kubwa sana.
Sina uhakika, nasikia Zambia kuna treni inaenda South Africa, kwa hiyo unganishe na Tazara
Kwa huu uzi nimevutika na hii swaraj japo cjawah itumia I wish one day nikiwa njema nijaribu hii Trekta naonaga mashambani kana fujo sana kama boda boda za kkooHiyo kampuni ya Agricom ipo TZ lakini inauza matrekta mapya tu na choice ni kati ya Swaraj (India) na Kubota (Japan). Mimi nimenuanua Swaraj 855 (55 hp), kwa millioni 36,000 za Kitanzania. Kumbuka materkta hayana kodi TZ kwa hiyo bei za TZ ni chini kuliko nchi nyingi.. Ukiagiza zee toka SA utauziwa na kodi yao.
Kwa vile nilikuwa sina pesa ya kutosha, nililipa millioni 22, na millioni 14 ukawa mkopo wa riba ya 15 kwa mwaka mmoja. Majembe nitanunua baada ya kumaliza kulipia trekta. Jembe 3 ni millioni 5, na trailer millioni 7.5. Ukiagiza SA, ukalipia usafiri mpaka kufika TZ hiyo pesa inaweza kutosha kununua Swaraj 855 (55 hp) mpya. Ukinunua trekta kwa r200,000 ni sawa na tsh millioni 32. Ukiongeza millioni kwa cash au mkpo unapata Swaraj mpya.
Swaraj inatengenezwa na kampuni ya matrekta ya Mahindra. Mahindra ni ya tatu kwa mauzo USA. Waliyonunua Swaraj wanaisifu kwa matumizi mazuri ya mafuta na bei nafuu za vipuri. Google Agricom uwatafute. Wana offisi za kanda Dar, Morogorio, Kahama, na Mbeya. Try them, you will not regret. I need to declare that I am not affiliated with Agricom TZ but I am their customer.
kwan kuliendesha mdog mdgo mpaka bongo haiwezekan???Logistics za kulileta bongo Sasa ndio kimbembe.
Meli za kutoka South Africa to Dar ni chache Sana, na kusafirisha kwa truck ni gharama kubwa sana.
Sina uhakika, nasikia Zambia kuna treni inaenda South Africa, kwa hiyo unganishe na Tazara
Haha haha hahah Umbali kutoka Johannesburg hadi Dar Es Salaam ni km 3,553.6 kaka utafika baada ya miaka mingapi?kwan kuliendesha mdog mdgo mpaka bongo haiwezekan???
Ata mwaka haufiki mkuu mdogo mdogo naitoboa mbeya!! Nikikutan na mishe ya kulima njian nalima nikimaliza naendelea na safarHaha haha hahah Umbali kutoka Johannesburg hadi Dar Es Salaam ni km 3,553.6 kaka utafika baada ya miaka mingapi?
Swaraj trekta ya kimasikini ipo poaKwa huu uzi nimevutika na hii swaraj japo cjawah itumia I wish one day nikiwa njema nijaribu hii Trekta naonaga mashambani kana fujo sana kama boda boda za kkoo
Hii njia ni cheap.ila ya meli ni cheap zaidiTumia treni ya south zambia then tazara.
Nyie wajuzi mmejificha wapi?
Mleta mada fanya kahuruma tuwekee Bei kwa Tshs nashindwa kukokotoa Rand kwa Shs tafadhali