steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,588
Nimepita nimekuta taarifa iliyotolewa na Bumbuli kuwa Yanga inakishikilia kibali cha kazi cha Benard Morrison mpaka swala litakapoisha.
Sasa nikashangaa liishe vipi wakati lilishaisha TFF ilituambia Morrison ni mchezaji huru?
Je Yanga wapo juu ya sheria? Je uhamiaji hawawezi kutoa kibali kipya?
Ningeomba ufafanuzi maana naona kama Yanga wanashindwa kuheshimu maamuzi ya TFF
Sasa nikashangaa liishe vipi wakati lilishaisha TFF ilituambia Morrison ni mchezaji huru?
Je Yanga wapo juu ya sheria? Je uhamiaji hawawezi kutoa kibali kipya?
Ningeomba ufafanuzi maana naona kama Yanga wanashindwa kuheshimu maamuzi ya TFF