Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
TFF wamesema mkataba una mapungufu lakini morison ni mchezaji huru
Matango pori yapi kwa mfano?
Hiyo sheria iko wapi? Ilete hapa tuisome tuielewe.
Unajua unapoleta hoja na kuelezea kitu watu wakitaka uthibitishe kinachotakiwa ni kuthibitisha na sio kuwaambia wakatafute wao.
Yanga wanadai wana mkataba na mchezaji na hilo hata ukisikiliza hukumu ya tff wamelisema na wakaenda mbele zaidi na kisema mkataba una mapungufu na arudishe pesa sasa huoni kwamba tff wamevunja mkataba ambao hawana hata uwezo wa kufanya hivo