Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hatutaki aje ila haki itendeke na Mikia FC waje mezani tuwape dau.
Kwa sababu uwezo wenu wa kufikiria umeishia hapoSenzo kavunja mkataba kihalali kabisa. Wamekabidhiana ofisi, sasa kibali unakizuia cha nini? Senzo si mwajiriwa wa Simba tena, hivyo aweza hata kurudi kwao na Simba hawana uwezo wa kumfungulia kesi. Morrison? Bado ana mgogoro wa kimkataba, hivyo anatakiwa awe mpole.
Yanga hawajielewi inaonekana ujinga wao ni zaidi ya manyani ngoja wakimbilie huko ije kesi ya kushushwa daraja maana kuna viwakili uchwara vinapewa promo na magazeti yao vonawadanganya.Msolwa alisema Yanga inahitaji wachezaji wawili wa nje ,tayari wanao 10,na tayari wanao wachezaji 8 wa kigeni,basi kama ni hivo pamoja na Morison ni wachezaji 11,sasa nikuulize wachezaji wa kigeni wako 8,msolwa amesema bado wawili ina maana jumla wapo 8,nijibu wachezaji wa kigeni waliosajiliwa na Yanga hadi sasa ni wangapi ?
Yanga hawajielewi inaonekana ujinga wao ni zaidi ya manyani ngoja wakimbilie huko ije kesi ya kushushwa daraja maana kuna viwakili uchwara vinapewa promo na magazeti yao vonawadanganya.
Kumbe hata Tshishimbi alikuwa na haki ya kuwafungulia kesi maana walimsaini wakamtema.
South alienda kwa usafiri gani SA mipaka imefungwaHii aliifanya senzo baada ya kumalizana na simba aliondoka nchini kurudi kwao south Africa, ndio karudi tena majuzi yanga wakamuombea kibali
Wewe unaesema wapo 11 tutajie.Msolwa alisema Yanga inahitaji wachezaji wawili wa nje ,tayari wanao 10,na tayari wanao wachezaji 8 wa kigeni,basi kama ni hivo pamoja na Morison ni wachezaji 11,sasa nikuulize wachezaji wa kigeni wako 8,msolwa amesema bado wawili ina maana jumla wapo 8,nijibu wachezaji wa kigeni waliosajiliwa na Yanga hadi sasa ni wangapi ?
Wewe unaesema wapo 11 tutajie.
OkKwa sababu uwezonwenu wa kufikiria umeishia hapo
Kesha huko insta.
Kwani kwa sasa kibali cha Senzo anacho nani?Nimepita nimekuta taarifa iliyotolewa na Bumbuli kuwa Yanga inakishikilia kibali cha kazi cha Benard Morrison mpaka swala litakapoisha.
Sasa nikashangaa liishe vipi wakati lilishaisha TFF ilituambia Morrison ni mchezaji huru?
Je Yanga wapo juu ya sheria? Je uhamiaji hawawezi kutoa kibali kipya?
Ningeomba ufafanuzi maana naona kama Yanga wanashindwa kuheshimu maamuzi ya TFF View attachment 1548128
Acha uongo,Hii aliifanya senzo baada ya kumalizana na simba aliondoka nchini kurudi kwao south Africa, ndio karudi tena majuzi yanga wakamuombea kibali
System ya usajili wa tff haifunguki mda wote bali kwa kipind maalum cha usajili wa dirisha dogo la January na lile dirisha kubwa la August,Ule mkataba ulisainiwa toka mwezi march na ukawekwa kwenye system tff wakauona na wakaukaushia tu.
Sasa juzi inakuaje wanaibuka kua mkataba una makosa?
Je tff ana haki ya kuvunja mkataba kisa unamapungufu?
Yanga hawawezi kumjumuisha Morrison kwenye usajili refer kwa hukum iliotoka kuwa ni mchezaji huruMbona swala la kocha limetowela ufafanuzi na limeeleweka mkuu au shida yako nini?
Yanga mpaka sasa wana wachezaji 8 wa kigeni na kwenye system yao wamemjumlisha na morrison ko jumla 9
Na kwa taarifa zilizopo hapo yanga ndo washamaliza usajili labda atokee tu mmoja wakuongezwa
Kaka ili sakata kuna mtu aliniambia kitu.....Yanga ndio wanao julikana na mamlaka...any issue violeted in the country by Morrisson Yanga will be answerable...!!
Yanga mpaka waka mkane Morrisson kuwa sio wao.....!! na wanatakiwa waka update kibari cha kuendelea kuishi...udanii wa tff na the lest ndio unacost soccer la bongo.
Yanga walikuwa sahihi kila idara....Simba alitakiwa kuwa banned....mkataba wa.Morrison na Yanga unamaoungufu but hii i justify kuwa mchezaji wa Simba.
Walitakiwa walegulate na simba waongee na Yanga kama mwajiri wa Morrison ili wa mnunue hizi janjajanja za soccer letu ndio shida.
Kila mtu mtoto wa mjini. Ndio maana hukumu ilichukuwa siku kadhaa tff wengi ni simba...
Ila Jmaaa anakibari cha kukipiga kimataifa yanga mpaka fifa.
Ni ujinga na ubabaishaji wa tff
Alipoenda simba kukabidhi vitu vya ofisi na kumalizana na uongozi, aliondoka nchini kwenda kwakoAcha uongo,
Nilikutana nae Dubai
Baada ya kumalizana na uongozi wa simba aliondoka nchini akisema anaenda kwao, mie najua kwao ni south Africa labda alishaamisha makaziSouth alienda kwa usafiri gani SA mipaka imefungwa
Hii aliifanya senzo baada ya kumalizana na simba aliondoka nchini kurudi kwao south Africa, ndio karudi tena majuzi yanga wakamuombea kibali
Hakuna hiyo sheria acha kulishamatango pori wakubwa wenzakoUnajua sheria za uhamiaji wewe?!! Kwa mjibu wa mamlaka ya soka tz, ni kuwa morison yupo huru, hadi sasa hadi hiyo rufaa itakavyosema vingine, Yanga wataamliwa kupeleka kibali hicho, idara ya kazi, na hata sasa wametakiwa kufanya hivyo, kama wakiendelea kubisha kinachoweza kufanyika ni hicho kibali kukibatirisha na idara ya kazi ikatoa kingine, mchezo unaisha!!! Na hata kesi kama inaendelea fifa kuna kanuni iayompa mchezaji kipaumbele kuendelea kucheza mpira, na mwisho wa siku hata yanga wakijashinda, watakachoambulia ni fidia kutoka kwa mchezaji na sio mchezaji kurudi yanga. Fanyeni mambo mengine hili limeshakwisha hao viongozi wenu wanawatia ujinga tu, ila ukweli wanaufahamu. Tff, ndio watakao iambia idara ya kazi kuwa mchezaji ni mali ya simba, na kibali kitatoka tu.