Naomba Ufafanuzi kwanini Mwana wa Mfalme wa Saudia ameshika Kasi sana ktk kufanyia mafundisho mengi ya dini ya kiislam?


Dah! Story tamu sanaa [emoji23]
 
Khalifa ummar (ra),ambaye aliishi na mtume saw,alipiga marufuku Hadith,wamekuwepo watu wa kupinga Hadith tangu mwanzo,Hadith ni uzushi....lakini Muhammad bin Salman ana matamanio yake pia ya kidunia
Kwa hiyo wanaofuata hadithi wanakosea ?
 
Kwa hiyo wanaofuata hadithi wanakosea ?
Kuna hadithi zimetungwa na wahuni hazipo yaani😅😅.Hapo baada ya kufa mtume kuna watu walianza kuleta masimulizi kama ndoto zao na fikra ....Ndip maana kuzijua hadithi fake ni kama inapingana na Qur an yaani inasema jambo fulani ila kweny Qur an halipo ni ka uzushi .

Jambo linaweza lisiwe na impact ila kumsingizia labda mtume alifanya hap ndio kweny Tatizo.
 
Sheikh! Unachoshangaa ni nini? 12 elimu unabidi uwe nazo kwenye Uislam. Usipokuwa nazo utaleta matatizo kwenye jamii. Na mwisho wa siku utapotea na kuendelea kuwa mbishi na kuendelea kutafuta ushindani.

Mathalani ukiulizwa mke wa Abu Lahb ni nani? Utakosa jawabu!
Huyu anaitwa Arwā bint Ḥarb maarufu anajulikana kama Umm Jamil. Mume wake anaitwa Abu Lahb. Na Abou Lahb ni ammi yake Mtume.

Abu Lahb na mkewe walishamkataa Mtume Muhammad s.a.w kitambo! Walikamtaa kama ni Mtume kama Wayahudi walivyomkataa Issa mwana wa Mariam A.S.

Au kama baba wa Imani Nabii Ibrahim (Abraham) A.S alivyokataliwa na baba yake mapokeo mengine yanasema baba yake mdogo alivyomuita kwenye njia ya kumwabudu Mungu.

Ukitaka ushahidi wa hili angalia surat lahab imeelezea habari za Abu Lahb na mkewe. Imetamka Abu Lahb ameangamia na mkewe pia ameangamia.

Hivyo si ajabu kwao kutoa kauli hizo! Hao ni wapinzani wa Mtume na Uislam.

Na kama unashangaa Mitume kuumwa yeye si wa kwanza. Ameumwa Nabii Ayoub A.S miaka mingi. Nabii Yunus A.S yeye alipatwa na mtihani wa kumezwa na samaki aina ya Chewa! Nabii Yahya A.S na baba yake Nabii Zakariyya A.S wote wameuliwa na orodha inaendelea.

Unaweza ukatoa hoja mbona Mtume au Nabii mwengine haikumkuata hivyo! Tunakujibu kuwa Mungu ni muweza na anafanya anavyotaka!

Na namna nyengine kanuni za kiislamu sisi hazituambii hivyo kwa unavyofikiria wewe! Kanuni za Uislam zinatumbia unaweza kujiona umebarikiwa kumbe ndiyo umeaangamia: Firauni alikuwa hana shida za kidunia! Alikuwa ni mfalme mwenye kila kitu, kumbe ndiyo ameangamia mbele ya Mungu. Na mifano ipo mingi!

Labda nirudi kwako; hoja yako hapo ipo wapi?
 
Qoran bila Hadithi ni sawa na toilet paper...

Kwa uhakika Qoran nisawa na mtu aliyepiga photocopy kitabu and akakusanya zile copy akazibeba akatembea nazo njiani kisha zikamponyoka zikaanguka chini and upepo ukazipeperusha zote kisha mtoa copy akaanza kuzikusanya bile mpangilio ndio Qoran ilivyo.. Chapter ya kwanza aliyopewa Mtume kwenye Koran ni Chapter ya tisa..

Ukisoma Koran inakuambia Mariam mama yake Yesu ndie kaka yake Musa na haruni wale wa zamani kabla hawajaenda nchi ya ahadi.. Unaweza kusoma Koran habari ya Daudi kisha mbele unakuta story ya Suleimani kisha inabadilika inasema wanawake wakitaka kutembea kimapenzi na Mtuwe wana ruksa n.k

Prince MBS nadhani anasikiliza sana video za Christian Prince Mzee anayejua siri zote za uislam na uongo wote wanaodanganya waumini haswa kwenye tafsiri za uongo mtupu Waislam jifunzeni kiarabu mjue uongo wa waarabu wanawapoteza sana sana.. wameweka hadi aya ya kuzuia kuuliza uliza kwa itapunguza imani kuwa mnamuabudu Shetani.. na Allah ameapa Waislam wote lazima waende Motoni... Tizameni huko Gaza na Allahu akbar yao sasa wanalia mno.. Uislam ni Pimp haouse una offer waumini sex tu
 
tuheshimu imani za watu wengine. Mijadala ifanyike kwa staha na sio kudhalilishana hakuna aliye bora kuliko mwingine.
Hivi unajua kuwa Uislam ndio hauna heshima wala staha na dini zingine! na koran na hadithi zimeandika ... Mtume wa waislam anakuchukia hadi milele labda ubadilishe ufe au ulipe kodi.. amewaita wasio Waislam Kufar, Donkey nguruwe na hamstahili kuishi... sema wakrito ndio tunawapenda maadui wetu.. Allah kuna aya anasema yeye ndio anapandikiza chuki kati ya wakristo na wakrito na wayahudi na wayahudi
 
Narudi tena palepale! 12 elimu ili uuelewe uislamu.

Nguzo za Jamarat zina historia ndefu. Na zina nukta tofauti. Kuna Jamarat al-Sughra, Jamarat al-Wusta na Jamarat al-Kubra.

Hizi zinawakilisha (elewa neno wakilisha) maeneo ambayo Nabii Ibrahim A.S alipambana na ushawishi wa Shetani kipindi ambacho Mungu alimpatia mtihani wa kumchinja Nabii Ismail A.S.

Akiwa njiani kukamilisha huo mtihani Shetani ndiyo akaja kwa Nabii Ibrahim ukitumia ushawishi wake ili Nabii Ibrahim asitekeleze mtihani aliyopatiwa na Mungu. Na alimjia kwa maeneo matatu tofauti. Nabii Ibrahim A.S kwa maeneo yote hayo matatu (3) tofauti alimrushia mawe.

Kipindi cha hijja mahujaji wanaadhimisha au wanamuadhimisha Nabii Ibrahim A.S kwa kurusha mawe kwenye hiyo minara.

Kwa hiyo kiongozi; usichoelewa uliza kila mambo yana yenyewe. Ukitaka uyaelewe waulize wenyewe.
 
Ukileta na ukathibitisha naacha na uislamu na nakupa million 10 kama unaweza tag Mod la sivyo nipigwe ban ya maisha ...


Mimi muislamu naapa mbele ya Mungu ukileta hilo andiko ,halafu niambie dini yako nikuonyeshe mimi.
Anachokuambia ni ukweli mtupu Allah Mwenyewe anasema yeye ndio best of Deceiver.. yaani amemzidi Shetani
 
Anachokuambia ni ukweli mtupu Allah Mwenyewe anasema yeye ndio best of Deceiver.. yaani amemzidi Shetani
😅😅Sasa soma nilichoandika kwamba leta hilo andiko na ahadi ipo hapo juu.
 
Sasa ndugu mtanzania, neno la lugha nyengine wewe linakutia ukakasi. Ukiulizwa nini maana yake utaweza kuielezea?

Maana ya kaafir ni kuficha. Anayeficha haki ya Mungu isiwafikie watu kwa namna yoyote huyo anaitwa Kaafir.

Na hata dini ya Uislam inamwambia muislam auchukie ukafir. Kwa sababu ukafir ni kitendo. Asipokuwa makini hata naye anaweza akatumbukia humo. Ila muislam hajaambiwa amchukie kafir. Mimi nikikuchukia wewe sipati thawabu ya aina yoyote. Sasa vipi nifanye kitu kidichokuwa na maslahi nami?

Kwa hiyo hata ukiona mahali kwenye uislam imeandikwa; nimeamrishwa nipambane na ukafir kwa maana ni kitendo cha ukafir. Na wala si aliye kafir.

Na swala la kutozwa kodi kwani ni geni? Mbona waislam wakienda nchi za watu wanalipa kodi? Nayo hii tuisemaje?

Au kuwa na haki maalumu ni jinai? Ufalme wa British haulipi kodi. Halikadhalika kwa utawala wa kiislamu mwislamu halipi kodi. Ila usiyekuwa muislam unatakiwa ulipe kodi ni kama kwa nchi ya Uingereza wewe raia wa kawaida lipa kodi ila ufalme haiwahusu.

Kwa sababu ufalme kwa sera zake ndiyo umeilinda nchi na raia. Na kwa Uislam hivyo hivyo! Maadamu upo kwenye nchi yenye sheria za uislam, sheria hizo zinalinda mipaka yako ya nchi, na usalama wako. Hivyo, kwa jitihada za sheria hizo lipia kodi.

Tatizo liko wapi?

Na Allah akupandikizie chuki wewe ili yeye anufaike na nini ndugu mtanzania? Mwenendo wake Allah upo wazi: utakavyojielekeza naye Allah ndivyo atakavyokuelekezea huko huko! Mabadiliko yoyote yanaanza na wewe! Allah anasema hambadilishi mtu mpaka mtu atakapoamua kabadilika mwenyewe.

Hivyo ukiwa na chuki, unataka Allah akubariki nini wakati mwenyewe kwa hiari yako umechagua maisha ya chuki?

Na nikupe faida vilevile: Allah anajiweka kwenye dhana ya mja wake kwa jinsi mja anavyomdhahania. Ukimdhahania ni hana issue...sawa! Naye kwako atajiweka hana issue!
 
Umeona sasa elimu yako ni ndogo ,wakristo mngekuwa mnapendana tu wenyewe kwa wenyewe msingkuwa mnasali makanisa tofauti😅😅, msingekuwa mnakataa kuzika wenzenu kisa hajahudhuria kanisani ,msinge watenga wazinifu ilihali mnabariki ndoa zao kwamba mnahalalisha uzinifu.

Tafita wakristo ndio wanawachukia waislamu kwa asilimia kubwa ,sema nyie ni waoga sana na mnawaogopa waislamu.😅

Maadui zenu ambao mnawapenda ni hawa pombe ,nguruwe na kuhalalisha ndoa za jinsia moja maana hivyo vyote ni nachukizo ndani ya bible ila ndio rafiki zenu wakubwa.
 
Apige marufuku na uislamu kabisa maana unalea ugaidi
Gaidi wa mwanzo alikuwa Roman Empire walio msulubu huyo Yesu wako.

Gaidi wa pili Crusader walio tumia upanga kwa kutumia kutangaza dini yao.

Gaidi wa tatu wakoloni walio leta utumwa na kutawala duniani kwa maslahi binafsi ila wakajifanya watangaza dini.
 
Na gaidi wa nne na tano ni Allah na mtume wake
 
Na gaidi wa nne na tano ni Allah na mtume wake
Hakika Allah ni mwingi wa neema na mwenye kurehemu na Mtume wake ni kipenzi wa walimwengu.

Ndugu yangu kulikuwa na watu wana chuki na uislam tokea hapo umekuja, na Mtume Mohammed(s.a.w) kuutangaza mpaka leo wapo zaidi na zaidi lakini leo hii chuki zao hakuna zilipo wanufaisha. Usichukie mtu wala vitendo jifunze Uislam ulivyo kabla hujaweka chuki yako. Tupo waislam 1.4 billion hii leo wale walio chukia chuki zao wana wafuasi wangapi kama nao wametangaza dini yao?.
 
NIWAACHIE WARAABU HII LIGI..
ILA HILI LA SAHIH AL BIKHAR 4950
NA HADITH IDADI 16,245 YA MU"WAIYA IBN ABU SUFYAN ....
SIONI AJABU WANAZUONI KUZIKATAA HIZI SIMULIZI ILI KUFICHA UKWELI FLANI WA TAMADUNI ZA KIARABU
Bukhari hakuwa mwarabu,ni mtu wa Kazakhstan ya Leo na Wala Hadith zinazoitwa za mtume hakuzikusanya saudia alikoishi mtume saw,na bukhari kafanya hiyo kazi zaidi ya miaka 200 baada ya kifo Cha mtume,hapa huna ujualo,mengine yaache yakupite
 
Allah ndiye shetan mwenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…