Naomba ufafanuzi, unapomuambia muomba ajira akahakiki vyeti kwa mwanasheria maana yake hizo taasisi haziaminiki?

Naomba ufafanuzi, unapomuambia muomba ajira akahakiki vyeti kwa mwanasheria maana yake hizo taasisi haziaminiki?

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Naomba ufafanuzi jamani mimi huwa sielewi.

Unapomwambia muomba ajira za serikali akahakiki vyeti kwa mwanasheria kwamba kwenye vyeti kunakuwa na SHERIA zimekosewa au wanaotoa hivyo vyeti hawaaminiki?

Au ni kuufanya mfumo uwe mgumu tu? Sio mwanasheria Mimi naomba ufafanuzi. Waangalie hizo gharama analipa nani?
 
Naomba ufafanuzi jamani mm huwa sielewi unapomwambie muomba ajira za serikali akahakiki vyeti kwa mwànasheria kwamba kwenye vyeti kunakuwa na SHERIA zimekosewa au wanaotoa hivyo vyeti hawaaniniki? Au ni kuufanya mfumo uwe mgumu tu? Sio mwànasheria Mimi naomba ufafanuzi.waangalie hizo gharama analipa nani?
Ukichukulia juujuu bila kufikiria kwa umakini utaona ni usumbufu mkuu.

ila uhakiki ni Kama saini yako kuthibitisha Kama Ivo vyeti ni vya kwako kweli, ni vile watu huchukulia simple tu ila kuna sehemu kabla ya kuhakiki wanathibitisha Hadi sura yako na ya kwenye passport,kumbuka Kuna vyeti feki na pia Kuna watu wanaoiba vyeti na kuvitumia..kwaio ni muhimu
 
Ukichukulia juujuu bila kufikiria kwa umakini utaona ni usumbufu mkuu.

ila uhakiki ni Kama saini yako kuthibitisha Kama Ivo vyeti ni vya kwako kweli, ni vile watu huchukulia simple tu ila kuna sehemu kabla ya kuhakiki wanathibitisha Hadi sura yako na ya kwenye passport,kumbuka Kuna vyeti feki na pia Kuna watu wanaoiba vyeti na kuvitumia..kwaio ni muhimu
Oooooh sawa. Asant mkuu.
 
Swali la maana!

Nadhani ni ule ujima ambao sehemu kama polisi ndio utamaduni, "wenye uwezo wa kufikiri wako kituoni, mimi nimetumwa kuja kukukamata tu, maswali utauliza huko"

Mama yao anaimba kuwa Mifumo haisomani, sasa mwanasheria ana jinsi gani ya kuthibitisha uhalali wa cheti?

Na wao wanasheria ni kama wanasiasa tu, hawana akili ya kukataa kuwa rubber stamp; kwamba hawana nyenzo za kuthibitisha hivyo serikali na sekta binafsi, wakitaka uthibitisho, warudi kwa watoa vyeti wenyewe!

Nani sijui alisema, nani sijui anaongoza MAITI.
 
Ni kwasababu tu imekua kama kibiashara zaidi sikuhiz ndo maana unaweza ona Kama hawafuatilii kwa umakini,ndio maana vyeti vina picha ...lakini ni muhimu .
Kumbuka mtoa cheti uyouyo anaeza fanya mchongo akaduplicate cheti kimoja kwa watu wawili..
 
Ukichukulia juujuu bila kufikiria kwa umakini utaona ni usumbufu mkuu.

ila uhakiki ni Kama saini yako kuthibitisha Kama Ivo vyeti ni vya kwako kweli, ni vile watu huchukulia simple tu ila kuna sehemu kabla ya kuhakiki wanathibitisha Hadi sura yako na ya kwenye passport,kumbuka Kuna vyeti feki na pia Kuna watu wanaoiba vyeti na kuvitumia..kwaio ni muhimu
Mkumbushe pia kinachohakikia sio cheti halisi bali ni vivuli vya vyeti
 
Naomba ufafanuzi jamani mimi huwa sielewi.

Unapomwambia muomba ajira za serikali akahakiki vyeti kwa mwanasheria kwamba kwenye vyeti kunakuwa na SHERIA zimekosewa au wanaotoa hivyo vyeti hawaaminiki?

Au ni kuufanya mfumo uwe mgumu tu? Sio mwanasheria Mimi naomba ufafanuzi. Waangalie hizo gharama analipa nani?

Kuna wadau pale Kariakoo wanatengeneza vyeti vya aina zote kuanzia cha kuzaliwa hadi cha masters yoyote unayoitaka.

NOTE: Usisubmit vyeti vya kufoji, ni kinyume cha sheria za nchi na ina adhabu yake kwa mujibu wa sheria husika.​
 
Ukichukulia juujuu bila kufikiria kwa umakini utaona ni usumbufu mkuu.

ila uhakiki ni Kama saini yako kuthibitisha Kama Ivo vyeti ni vya kwako kweli, ni vile watu huchukulia simple tu ila kuna sehemu kabla ya kuhakiki wanathibitisha Hadi sura yako na ya kwenye passport,kumbuka Kuna vyeti feki na pia Kuna watu wanaoiba vyeti na kuvitumia..kwaio ni muhimu
Muda mwingine naonaga ni siasa tu, mfano madogo wa six mtu akihakiki mwaka huu kama hakwenda chuo mwakani inatakiwa ahakiki upya, what's the point here?
 
Sawa! Huyo mwanasheria ana nyenzo gani kuthibitisha uhalali wa cheti?...
Ukienda kuhakiki cheti unakuepo wewe na cheti chako halisi na copy yako na I'd nyingine ya utambulisho wako,,mwanasheria atahakiki na Kama ni sahihi na kutia muhuri wake,pia anaweza asiweke muhuli atapoona Kuna changamoto yoyote,maana akithibitisha hata yeye atakua matatani,,,
Acha hizi za Sasa za kupeleka bundle la vyeti mtu hata hakagui anatia muhuri unasepa zako😆
 
Back
Top Bottom