Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,572
- 5,945
Wanahakiki upya kwasababu wakishagongewa muhuri kwenye ile copy,wanaipeleka ile ile badala ya kupeleka copy ya ile true copy yenye muhuri..Muda mwingine naonaga ni siasa tu, mfano madogo wa six mtu akihakiki mwaka huu kama hakwenda chuo mwakani inatakiwa ahakiki upya, what's the point here?
ukifanya Ivo kila utakachofanya lazma utahakiki Mara kwa Mara sijui umenielewa.😆😆