Naomba ufafanuzi, unapomuambia muomba ajira akahakiki vyeti kwa mwanasheria maana yake hizo taasisi haziaminiki?

Naomba ufafanuzi, unapomuambia muomba ajira akahakiki vyeti kwa mwanasheria maana yake hizo taasisi haziaminiki?

Naona ni siasa tu , kama ishu ni ku-certify true copy of the original,,what if uki upload cheti original chenyewe? Wont it be valid?!
 
Naomba ufafanuzi jamani mimi huwa sielewi.

Unapomwambia muomba ajira za serikali akahakiki vyeti kwa mwanasheria kwamba kwenye vyeti kunakuwa na SHERIA zimekosewa au wanaotoa hivyo vyeti hawaaminiki?

Au ni kuufanya mfumo uwe mgumu tu? Sio mwanasheria Mimi naomba ufafanuzi. Waangalie hizo gharama analipa nani?
Tatizo ni hao mawakili na namna wanavyohakiki hivyo vyeti.
Kwa nafasi zao wana ya kwenda kwenye mamlaka husika na kuhakiki hicho cheti na taarifa zako kama ni halisi. Ikitokea cheti hicho kikaonekana ni batili huko mbele ya safari, Wakali anakuwa ndiye mshitakiwa mkuu.
Sasa huu itaratibu wao wa verifications kwa kweli unaweza ukajiuliza kama hata wanajua wafanyacho.
 
Naomba ufafanuzi jamani mimi huwa sielewi.

Unapomwambia muomba ajira za serikali akahakiki vyeti kwa mwanasheria kwamba kwenye vyeti kunakuwa na SHERIA zimekosewa au wanaotoa hivyo vyeti hawaaminiki?

Au ni kuufanya mfumo uwe mgumu tu? Sio mwanasheria Mimi naomba ufafanuzi. Waangalie hizo gharama analipa nani?
Hicho ni kiapo unakula mbele ya mwanasheria ili ikija kubainika kuna shida yoyote kwenye vyeti husika uwe liable kwakuwa ulikula kiapo.

Ni takwa la kisheria vyeti kuwa certified ndiyo maana unakuta mfano cheti cha kuzaliwa kinatolewa na RITA lakini bado ukitaka kukitumia cheti hicho inabidi kifanyiwe Verification na hao hao RITA.
 
Ukichukulia juujuu bila kufikiria kwa umakini utaona ni usumbufu mkuu.

ila uhakiki ni Kama saini yako kuthibitisha Kama Ivo vyeti ni vya kwako kweli, ni vile watu huchukulia simple tu ila kuna sehemu kabla ya kuhakiki wanathibitisha Hadi sura yako na ya kwenye passport,kumbuka Kuna vyeti feki na pia Kuna watu wanaoiba vyeti na kuvitumia..kwaio ni muhimu
Ko kule mainterview usail unaenda navyo iliiweje kama vishasainiwa na kukaguliwa,, huo ni ushamba mmoja na mfumo wa jamaa flan kujipa mamlaka kutafuna pesa za watu
 
Bora hao mtu amemaliza degree ya pharmacy amefaulu vizuri baadae unaambiwa lazima afanye mtihani wa leseni ili apate leseni yake,ukifeli mtihani wa leseni haupati leseni.
Mtu unajiuliza kama ni hivyo kulikuwa na maana gani ya kukaa darasani miaka 4 yote!!
Hio ni sawa levels ni tofauti hawakusema ukimaliza 4 yrs unapewa lesen hio hawajasema ila lesen no ya hiyo degree yako hunyimwi
 
Ni suala la mfumo tu kusomana basi
Mfano cheti cha form four na Form 6 na Diploma(AVN) mfumo unaweza kuhakiki Kama ni halali kwa kuingiza namba wala hauhitaji hard copy.

Nitumie isomane mambo yanakua yameiishia hapo huhitaji muhuri wa mwanasheria kasababu hata yeye hajui na kama nihalali au la!
 
Back
Top Bottom