Wanahakiki upya kwasababu wakishagongewa muhuri kwenye ile copy,wanaipeleka ile ile badala ya kupeleka copy ya ile true copy yenye muhuri..Muda mwingine naonaga ni siasa tu, mfano madogo wa six mtu akihakiki mwaka huu kama hakwenda chuo mwakani inatakiwa ahakiki upya, what's the point here?
Mwanasheria unamuonyesha hard copy then yeye ana kupigia mhuri...hii itakusaidia kwa hatua za awali tu.Sawa! Huyo mwanasheria ana nyenzo gani kuthibitisha uhalali wa cheti?...
Sahihi.Cheti cha chuo degree even diploma huwa havina picha Mara nyingi
Form four na six vina picha so Mwanasheria hana uwezo huo wa kujua Cheti halali na feki.
Isipokuwa kuhakiki vyeti ni SIASA na kugawana riziki.
Sasa hizo taratibu za ndani ndizo zinapaswa kuanza, sio kulipishana hela kwa mwanasheria...Kitaani kugumu ndugu zangu.Mwanasheria unamuonyesha hard copy then yeye ana kupigia mhuri...hii itakusaidia kwa hatua za awali tu.
Ikitokea umefuzu, taratibu za ndani za kujiridhisha kwa mtoa cheti zinafanyika.
Kabla ya ajira wakiridhika umefoji wanakushtaki...haya mambo yapo sana.
Kwa hiyo kwa mfano hizi nafasi za waalimu maana yake uchunguze watu 30,000 walioomba hizo nafasi badala ya 11,000 waliofuzu?Sasa hizo taratibu za ndani ndizo zinapaswa kuanza, sio kulipishana hela kwa mwanasheria...Kitaani kugumu ndugu zangu.
huyo mwanasheria kawekewa mazingira gan ya kujua kuwa hiki cheti ni cha kulwa na sio Dotto ambao wameishi pamoja na kujuana hadi namna ya kusaini na hata muonekano ni mmoja , kwann wasiwatume watu kuhakiki kwenye taasisi husika walipohitimu elimu zao ?Ukichukulia juujuu bila kufikiria kwa umakini utaona ni usumbufu mkuu.
ila uhakiki ni Kama saini yako kuthibitisha Kama Ivo vyeti ni vya kwako kweli, ni vile watu huchukulia simple tu ila kuna sehemu kabla ya kuhakiki wanathibitisha Hadi sura yako na ya kwenye passport,kumbuka Kuna vyeti feki na pia Kuna watu wanaoiba vyeti na kuvitumia..kwaio ni muhimu
kabisaHii huwa ni kichaka Cha wanasheria kula elfutani Hadi elfukumi.wenye uwezo wa kuhakiki cheti chako ni halali au siyo halali ni baraza la mtihani au chuo husika ulichosoma na siyo huo uhuni.
Mwanasheria unamuonyesha hard copy then yeye ana kupigia mhuri...hii itakusaidia kwa hatua za awali tu.
Ikitokea umefuzu, taratibu za ndani za kujiridhisha kwa mtoa cheti zinafanyika.
Kabla ya ajira wakiridhika umefoji wanakushtaki...haya mambo yapo sana.
Ili kama umechukuwa vyeti fake au vya mtu ujinyonge mwenyewe. Yaani kile ni kama kiapo kisicho rasmi kuwa unathibitisha pasi na shaka kuwa vile vyeti ni vyako na ni halali. Kama unadanganya litakalokupata usije kulalamika kuwa hukujua.Oooooh sawa. Asant mkuu.
Una wazimu wwNjia rahisi, kwa Taasisi wale wote ambao wamewashort list! Watume vyeti vyao kwa watoa vyeti...
Unavifahamu vyeti feki?Naomba ufafanuzi jamani mimi huwa sielewi.
Unapomwambia muomba ajira za serikali akahakiki vyeti kwa mwanasheria kwamba kwenye vyeti kunakuwa na SHERIA zimekosewa au wanaotoa hivyo vyeti hawaaminiki?
Au ni kuufanya mfumo uwe mgumu tu? Sio mwanasheria Mimi naomba ufafanuzi. Waangalie hizo gharama analipa nani?
mwanasheria anajuaje hiki ni fake?Unavifahamu vyeti feki?
Kwa mwaka 2024, Teknolojia imekuwa, hii hoja ni dhaifu. Namba ya NIDA inatakiwa kubeba taarifa zote za muomba ajira.Ukichukulia juujuu bila kufikiria kwa umakini utaona ni usumbufu mkuu.
ila uhakiki ni Kama saini yako kuthibitisha Kama Ivo vyeti ni vya kwako kweli, ni vile watu huchukulia simple tu ila kuna sehemu kabla ya kuhakiki wanathibitisha Hadi sura yako na ya kwenye passport,kumbuka Kuna vyeti feki na pia Kuna watu wanaoiba vyeti na kuvitumia..kwaio ni muhimu
Copy huwa ipo muda wote online kwenye Rita account just kuingia na kudownload muda wowote itakayohitajika tena. Labda kama sijakuelewa vizuriWanahakiki upya kwasababu wakishagongewa muhuri kwenye ile copy,wanaipeleka ile ile badala ya kupeleka copy ya ile true copy yenye muhuri..
ukifanya Ivo kila utakachofanya lazma utahakiki Mara kwa Mara sijui umenielewa.😆😆
Cheti cha Chuo Mwanasheria wako anawezaje kujua hiki feki na hiki ni chenyewe kwa macho tu maana wanakua hawana mfumo wowote wa Chuo kuwa ataingia ili akione pale akugongee muhuri..Mwanasheria unamuonyesha hard copy then yeye ana kupigia mhuri...hii itakusaidia kwa hatua za awali tu.
Ikitokea umefuzu, taratibu za ndani za kujiridhisha kwa mtoa cheti zinafanyika.
Kabla ya ajira wakiridhika umefoji wanakushtaki...haya mambo yapo sana.
Wao wameaminiwa kwa shughuri hii na wanajua wapi na nini cha kufanyamwanasheria anajuaje hiki ni fake?