Naomba ufafanuzi wa dawa aina ya amitriptyline

Mwaka juzi nilizitumia sana hizo dawa wakati nikiwa nasumbuliwa na maumivu makali ya nerves. Nilikua nameza hizo pamoja na pregabalin na madawa kibao ya kutuliza maumivu. Zina usingizi balaa ila tatizo lake nilikuja kuliona baada ya kumaliza dozi. Usingizi nilikua nautafuta kwa tochi kuna siku mpaka unatoboa asubuhi macho makavuu.. ilinichukua karibu miezi 6 kuanza kupata usingizi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…