Naomba ufafanuzi wa hili la Mtu kuomba Ramani ya nyumba yako

Naomba ufafanuzi wa hili la Mtu kuomba Ramani ya nyumba yako

Obama wa Bongo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
5,431
Reaction score
4,925
Salama wadau,

Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road

Zaidi ya mara nne nimeshawatimua watu wanapiga picha nyumba bila ruksa yangu tena hapo ni weekend nikiwepo. Je, hili la kuwakatalia ramani yangu,hata ndugu zangu wa damu limekaaje??? maana dunia ya sasa haiaminiki kabisa
 
Tufanye hii ndiyo nyumba yako Uzi na picha.
images%20(75).jpg
 
Wengi wanapenda vya bure wakati garama za kujenga ni kubwa kuliko za kununua ramani kwa mtaalam matokeo yake ukiwapa raman ikiyochorwa kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja cha sqm 800 wanaenda kujenga kwenye sqm 400 matokeo yake hawapati hata parking

Mimi mtu akiiba ramani yangu lazima jasho la pua limtoke katika kununua nondo za slub mana zipo za kutosha.
 
Salama wadau,

Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road

Zaidi ya mara nne nimeshawatimua watu wanapiga picha nyumba bila ruksa yangu tena hapo ni weekend nikiwepo. Je, hili la kuwakatalia ramani yangu,hata ndugu zangu wa damu limekaaje??? maana dunia ya sasa haiaminiki kabisa
Wavizie na uwatoze tozo kama vipi tembeza kichapo maana usikute wengine ni wezi tu.
 
Sidhani kama ni kwa nia ya uhalifu, muhalifu ashindwi kufanya uhalifu kwa kukosa ramani ya nyumba.
Kwa uzoefu wao tu kupitia madirisha ya nyumba tayari washajua ramani ipoje.
 
Salama wadau,

Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road

Zaidi ya mara nne nimeshawatimua watu wanapiga picha nyumba bila ruksa yangu tena hapo ni weekend nikiwepo. Je, hili la kuwakatalia ramani yangu,hata ndugu zangu wa damu limekaaje??? maana dunia ya sasa haiaminiki kabisa
Wanataka kukuroga. Kuwa makini
 
Salama wadau,

Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road

Zaidi ya mara nne nimeshawatimua watu wanapiga picha nyumba bila ruksa yangu tena hapo ni weekend nikiwepo. Je, hili la kuwakatalia ramani yangu,hata ndugu zangu wa damu limekaaje??? maana dunia ya sasa haiaminiki kabisa
Hata mimi nitahihitaji ramani yako Boss, sio kwa mabaya.
 
Itakuwa ni nzuri na mtu kuomba raman sio jambo baya ..kawaida wengi wana uza hapo una patamo hata pesa za kidogo
 
Back
Top Bottom