Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,431
- 4,925
Salama wadau,
Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road
Zaidi ya mara nne nimeshawatimua watu wanapiga picha nyumba bila ruksa yangu tena hapo ni weekend nikiwepo. Je, hili la kuwakatalia ramani yangu,hata ndugu zangu wa damu limekaaje??? maana dunia ya sasa haiaminiki kabisa
Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road
Zaidi ya mara nne nimeshawatimua watu wanapiga picha nyumba bila ruksa yangu tena hapo ni weekend nikiwepo. Je, hili la kuwakatalia ramani yangu,hata ndugu zangu wa damu limekaaje??? maana dunia ya sasa haiaminiki kabisa