Pamoja sana mkuiMimi niko kwenye hii biashara ya kuku wa nyama na kweli vile vyakula vya makampuni bei imekua mbaya sana. Nina formula tatu mpaka saiv ambazo zote nimeanza kuzifanyia majaribio. Nimelipia kuzitengeneza na zinanipa majibu tofauti tofauti. Hii ya mwisho majibu ntayapata mwez July mapema. Naanza kuwalisha weekend hii.
Ikikamilika nitawapatieni hio formula hata kwa kuchangia kidogo.
Ila mpaka sasa hivi mfuko wa dukani ni 70,000 na mimi ninapochanganya natumia 50,000
Hiyo Bei ya broiler ya Shilingi elfu saba. wewe upo wapi mkuu?Mkuu kwenye hio ya kuku wa nyama naweza kukusaidia. Biashara yake tatizo inahitaji connection kupata masoko. Fahamiana na wafugaji wengine. Mimi nna mwaka mmoja toka nianze nilianza na kuku 100 sasa hivi wako 600.
Tulichofanya sisi ni kushikilia masoko na tunakua tunapokezana kuagiza vifaranga kwa interval ukiwa na soko la kuku100 kila siku manaake ni kwamba mimi kuku wangu ndani ya siku 34wanakua wameisha wakati huo mtu mwingine anakamatia lile soko mi naagiza vifaranga(mwanzoni nilikua naona aibu hata kwenda kwenye vile vikao lwakua ni wamama tu ) ila nilipofanikiwa kuingia katika hio club raha msatarehe.
Nilipojaribu mara ya kwanza ilibaki kidogo wanidodee na mimi nilikaa nao hadi wiki 7 na wanaendelea kula tu. Nusura niache ila nikarudia pamoja na kuzunguka zunguka kupata masoko mambo mazuri.
Kwa maana hiyo kama mimi binafsi ningekua na mtaji nina uwezo wa kutoa kuku 100 kila siku(Faida ni zaid ya 150,000) na ukiwa na kuku wa kila umri manaake uweze kuchinja kuku 3000 kwa mwezi fikiria faida yake.
Ishu inakuwaga pale unapouza ukimaliza uanze kukuza upya ukirud soko limekabwa na wengine na ni muda wa kutoa kuku....hapo ndo nilikua natembea naongea peke yangu kama chizi. Huku nilipo tunauza 7000
Nauza Dodoma na Moro mkuuHiyo Bei ya broiler ya Shilingi elfu saba. wewe upo wapi mkuu?
Geo naomba nisaidie kupata soko kama kutakuwa na uhitaji ,nipo MoroNauza Dodoma na Moro mkuu
Get angry be insipired....Nasoma Uzi huu Kila siku ili niwe na hasira za maisha
Forex nayo unafanya ndugu??daaah we dogo saafi saaana aisee nikija bongo nitakutfta mdogo wangu. Mimi nilikuwa na na nina experience saaana na vitunguu maji kwa miaka kama kumi hivi nimelima kitaaalam saana ila tatzo niligundua kuwa soko linazngua saaana saaana hapo bongo. ilifikia hatua nikaachaga kulima nikaenda kuwa dalali wa vitunguu huko mabibo hii yote ilikuwa ni mbinu ya kufanya research ya masoko ya vitunguu nilikaa miez minne nikaelewa saaana na baada ya hapo nilirudi shambani nikawa nalima kinyume na msimu. Hapo nilipata faida saaana. kuna kipind nilitembelea israel nikaona vitunguu swaum so nikapanga nikarud tz nikamwambia kakaangu tulime vitunguu swaum lakini jamaa akakataa akasema vinakubali maeneo ya baridi. wakat israel niliona vinalimwa open space jamani. sikukubaliana nae. nikajipanga nikalima ka shamba kangu ka nusu hekari nikatumia utaalamu waangu woote wa zao la kitunguu maji na nilisoma na nikaenda kuwatembelea baadhi ya wakulima huko mbeya nikajifunza nikaja kufanya kwa practical aisee amini usiamni kaka nilipiga gunia zangu kadhaa za vitunguu swaum tangu hapo nikawa mkulima mzuri saana wa vitunguu aisee. kwa hyo jamani msisikilize ya watu mimi home tz nalima had zabibu. kilimo kinalipa ila KILIMO AFRIKA BILA KUJUA SOKO NI SAWA NA KUPAKA RANGI UPEPO. Zaid ya Mbwa wa ulinzi wa kipolisi/kijeshi, mbuzi, bata mzinga na ng'ombe wa maziwa sijawah fuga. Mimi nimejifunza kuwa specific ktk jambo unalofanya. yaani amua nini unataka kufanya na ujikite huko. mimi nilijikita ktk vitunguu na hapo hunidanganyi lolote may be masoko ya nje ndio sijawah uzia huko na hapo ontario mdogo wangu utanisaidia nikija bongo. Nalima mbaazi, mpunga na ninasaga nyama na kutengeneza sausage pia na mikate. kwa hyo naenjoy, NIMESOMA FINANCIAL ENGINEERING lakin moyo wangu uko kwenye kilimo jamani. i miss home nikija nitakutfta mdogo wangu. nikusaidie forex (japo nimesimama kidogo).
daaah we dogo saafi saaana aisee nikija bongo nitakutfta mdogo wangu. Mimi nilikuwa na na nina experience saaana na vitunguu maji kwa miaka kama kumi hivi nimelima kitaaalam saana ila tatzo niligundua kuwa soko linazngua saaana saaana hapo bongo. ilifikia hatua nikaachaga kulima nikaenda kuwa dalali wa vitunguu huko mabibo hii yote ilikuwa ni mbinu ya kufanya research ya masoko ya vitunguu nilikaa miez minne nikaelewa saaana na baada ya hapo nilirudi shambani nikawa nalima kinyume na msimu. Hapo nilipata faida saaana. kuna kipind nilitembelea israel nikaona vitunguu swaum so nikapanga nikarud tz nikamwambia kakaangu tulime vitunguu swaum lakini jamaa akakataa akasema vinakubali maeneo ya baridi. wakat israel niliona vinalimwa open space jamani. sikukubaliana nae. nikajipanga nikalima ka shamba kangu ka nusu hekari nikatumia utaalamu waangu woote wa zao la kitunguu maji na nilisoma na nikaenda kuwatembelea baadhi ya wakulima huko mbeya nikajifunza nikaja kufanya kwa practical aisee amini usiamni kaka nilipiga gunia zangu kadhaa za vitunguu swaum tangu hapo nikawa mkulima mzuri saana wa vitunguu aisee. kwa hyo jamani msisikilize ya watu mimi home tz nalima had zabibu. kilimo kinalipa ila KILIMO AFRIKA BILA KUJUA SOKO NI SAWA NA KUPAKA RANGI UPEPO. Zaid ya Mbwa wa ulinzi wa kipolisi/kijeshi, mbuzi, bata mzinga na ng'ombe wa maziwa sijawah fuga. Mimi nimejifunza kuwa specific ktk jambo unalofanya. yaani amua nini unataka kufanya na ujikite huko. mimi nilijikita ktk vitunguu na hapo hunidanganyi lolote may be masoko ya nje ndio sijawah uzia huko na hapo ontario mdogo wangu utanisaidia nikija bongo. Nalima mbaazi, mpunga na ninasaga nyama na kutengeneza sausage pia na mikate. kwa hyo naenjoy, NIMESOMA FINANCIAL ENGINEERING lakin moyo wangu uko kwenye kilimo jamani. i miss home nikija nitakutfta mdogo wangu. nikusaidie forex (japo nimesimama kidogo).
Mkuu heshima yako, naona umeongelea seals la focus kwenye zao moja ili kujenga ubobezi lakini upande mwingine unaongelea kwamba unalima mazao mengine mengi ukiacha kitunguu.
Upo sahihi kuhusu focus lakini diversification nayo ni muhimu sababu Kama ilivyosema kuwa soko haliweleweki bongo ndio maana inabidi ulime mazao mengine ili kufidia yake ambayo hauto pata faida sababu ya soko kuwa baya
Nimependa maamuzi yako ya kwenda kuwa dalali, it was a very smart move. Ngoja tumsubiri ONTARIO pengine atatupa una na Wa kwenda kuuza kitunguu Kenya maana hata Mimi nimemuuliza lkn hajajibu
Mwisho
1. naomba unisaidie pale mabibo ni miezi gani kitunguu maji kinakuwa adimu?
2. Ukiacha mabibo wapi kwengine ulikuwa unauza mzigo?
Ontario unafanyaje hadi unapata faida
Maana na Mimi nafuga lakin nahisi kuacha maana chakula kimepanda sana bei na bei ya kuuzia ni ile ile
Nimejaribu kununua malighafi lakn bado naona gharama ziko juuu
Ontario jamani hapo kwenye mifuko hapo ndio nachanganyikiwa kabisa embu niambie nawapa hadi mifuko 37 kwa kuku 500 ndio maana sioni faida kabisaSawa nimekupata
Ila sasa nilikuwa naomba unisaidie ratio ya chakula cha broiler
Stats,grower na finisher
Pia mfano Kuku 500 unalisha mifuko mingapi?
Kenya wanazalisha vitunguu kwa saaa mkuu hakuna tena soko kule. Wanalima sana tena mno. kwa sasa hawachukui sana vitunguu Mang'ora Karatu kama zamaniMkuu heshima yako, naona umeongelea seals la focus kwenye zao moja ili kujenga ubobezi lakini upande mwingine unaongelea kwamba unalima mazao mengine mengi ukiacha kitunguu.
Upo sahihi kuhusu focus lakini diversification nayo ni muhimu sababu Kama ilivyosema kuwa soko haliweleweki bongo ndio maana inabidi ulime mazao mengine ili kufidia yake ambayo hauto pata faida sababu ya soko kuwa baya
Nimependa maamuzi yako ya kwenda kuwa dalali, it was a very smart move. Ngoja tumsubiri ONTARIO pengine atatupa una na Wa kwenda kuuza kitunguu Kenya maana hata Mimi nimemuuliza lkn hajajibu
Mwisho
1. naomba unisaidie pale mabibo ni miezi gani kitunguu maji kinakuwa adimu?
2. Ukiacha mabibo wapi kwengine ulikuwa unauza mzigo?