Ikulu T
JF-Expert Member
- Aug 21, 2023
- 1,600
- 4,714
Sahihi wengi ni acha liendeMtanzania hana uelewa wa mambo mengi na ana shida ya common sense. Hata hao walioweka cctv wanaweza kukupa majibu ya ajabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi wengi ni acha liendeMtanzania hana uelewa wa mambo mengi na ana shida ya common sense. Hata hao walioweka cctv wanaweza kukupa majibu ya ajabu sana
Ni delicious huyo.Unapata wapi mida wa kujua size ya mwanaume mwenzio?
???????Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili ya Upanga, tafadhali fanyeni busara kuziondoa kamera ambazo zimefungwa chooni.
Sio busara, sio ustaarabu, ni kuingilia faragha za watu. Chooni ni eneo nyeti sana usiri mkubwa sana.
Nimeshangazwa kukuta kamera zimewekwa ndani chooni, eneo ambalo mkoaji anafungua zipu akojoe juu kamera hiyooo Janab na timu yake wanakuchungulia.
Sababu yao baada ya kujaribu kudadisi ni kutokana na wizi wa koki za mabomba chooni.
Ushauri: waweke mabomba marefu ambayo mtu hata akiiba mfukoni halingii na pia wazuie mtu kuingia na beg chooni.
Hata aliweka ile kesho akienda lodge halafu akute kuna kamera lazima akimbie hapo aende kwingine halafu meneja alete majibu eti kwa sababu ya wateja wanaondoka na mashuka au mataulo ikabidi tufunge kamera.
Lamba makofi kabisa bili kwa mangi.
Kamera chooni ni kashfa na ni unyanyasaji mkubwa sana kwa wateja wenu.
Wahusika tunaomba hili mlifanyie kazi sheria za kitaifa na hata kimataifa hapa zinagoma.
Kwa sababu ya sheria za hospitali picha imekuwa ngumu kuiweka hapa.
Sijabeza mkuu, huenda labda nia ni hiyo, labda, inaweza isiwe hivyo mkuu.Unabeza nini sasa, wao wamejiumba?
Ukiingia we funika na kitambaa. Kizito tu au gundi kwisha habari yaoUongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili ya Upanga, tafadhali fanyeni busara kuziondoa kamera ambazo zimefungwa chooni.
Sio busara, sio ustaarabu, ni kuingilia faragha za watu. Chooni ni eneo nyeti sana usiri mkubwa sana.
Nimeshangazwa kukuta kamera zimewekwa ndani chooni, eneo ambalo mkoaji anafungua zipu akojoe juu kamera hiyooo Janab na timu yake wanakuchungulia.
Sababu yao baada ya kujaribu kudadisi ni kutokana na wizi wa koki za mabomba chooni.
Ushauri: waweke mabomba marefu ambayo mtu hata akiiba mfukoni halingii na pia wazuie mtu kuingia na beg chooni.
Hata aliweka ile kesho akienda lodge halafu akute kuna kamera lazima akimbie hapo aende kwingine halafu meneja alete majibu eti kwa sababu ya wateja wanaondoka na mashuka au mataulo ikabidi tufunge kamera.
Lamba makofi kabisa bili kwa mangi.
Kamera chooni ni kashfa na ni unyanyasaji mkubwa sana kwa wateja wenu.
Wahusika tunaomba hili mlifanyie kazi sheria za kitaifa na hata kimataifa hapa zinagoma.
Kwa sababu ya sheria za hospitali picha imekuwa ngumu kuiweka hapa.
😂😂😂😂😂😂❤️Nimegundua kwanini juma lililopita nilikuwa hapo ,Kuna daktari hatuelewani miaka mingi Ila shida niliyokuwa nayo ilikuwa lazima niende ofisini kwake ,nashangaa nafika pale mtu anakenuakenua as if tumeshamaliza ugomvi wetu kumbe nilivyoenda maliwato alikaona kakibamia kangu .
🤦
Ukizidiwa huko nani atajua na kukupa msaada wa haraka, kumbuka kuna nyakati unatumia nguvu za ziada mpaka unapata kizunguzungu.Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili ya Upanga, tafadhali fanyeni busara kuziondoa kamera ambazo zimefungwa chooni.
Sio busara, sio ustaarabu, ni kuingilia faragha za watu. Chooni ni eneo nyeti sana usiri mkubwa sana.
Nimeshangazwa kukuta kamera zimewekwa ndani chooni, eneo ambalo mkoaji anafungua zipu akojoe juu kamera hiyooo Janab na timu yake wanakuchungulia.
Sababu yao baada ya kujaribu kudadisi ni kutokana na wizi wa koki za mabomba chooni.
Ushauri: waweke mabomba marefu ambayo mtu hata akiiba mfukoni halingii na pia wazuie mtu kuingia na beg chooni.
Hata aliweka ile kesho akienda lodge halafu akute kuna kamera lazima akimbie hapo aende kwingine halafu meneja alete majibu eti kwa sababu ya wateja wanaondoka na mashuka au mataulo ikabidi tufunge kamera.
Lamba makofi kabisa bili kwa mangi.
Kamera chooni ni kashfa na ni unyanyasaji mkubwa sana kwa wateja wenu.
Wahusika tunaomba hili mlifanyie kazi sheria za kitaifa na hata kimataifa hapa zinagoma.
Kwa sababu ya sheria za hospitali picha imekuwa ngumu kuiweka hapa.
Naam mimi huwa naumizwa na tabia ya kubeza maumbile ya mtu huku anaebeza akijua kabisa huyo mtu hakujiumba. Kiuhalisia hakuna kitu kama kibamia, bali ni baadhi ya wadada kutumia vitu visivyo asili katika kujiridhisha kingono, na hivyo kutoridhishwa na maumbile ya asili ya mwanaume.Sijabeza mkuu, huenda labda nia ni hiyo, labda, inaweza isiwe hivyo mkuu.