Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Umefikiria nini kujiita Rocco Siffredi?Embu ikumbukwe hicho ndo kigezo kikuu walichokubaliana ili waishi wote na walikaa kavu mwaka mzima bila sex coz waliamua kuheshimu hiyo bikra
Make katika hali ya kawaida Ke alidanganya
Binafsi mshauri jamaa amuulize kwanini Ke alidanganya kama ni sababu zina mashiko anaweza endelea nae
Ila binafsi ningepiga chini
Yes...ila the only way kujua ukweli ni kumuuliza akuambie yeye.. labda hio pressure ya kutaka bikra uliyompa ilimfanya akudanganye vile coz anakupenda hataki kukupoteza n so on..so katika relationship yoyote at the beginning Bora muwekane sawa kwa communicationKo ipo ambayo haitoi damu
😂😂😂🤭🙌🏿🙌🏿Bro usituchoshe
Umewaza kama mimi.Huyo jamaa itakuwa ni ww mwenyewe...kaa nae binti muulize kwa nn alikudanganya...jibu atakalokupa likupe uamuzi...
🤣Sio maji bana... bikra zinatoka kwa njia nyingi sio kugegedwa tu..we fuatalia me sio doktaSo ipo ya maji syo damu?!
Mmmh mbona akikaa muda mref hata kama kazaa inabana sana! Kwamba kuna naturally mashine kubwa? hapana. Matumizi ya mara kwa mara na kupitisha ma grader na ma skaveta.Hio ni traditional view...fuatalia mtandaoni mambo ya bikra kutoka kwenye medical websites utaelewa zaidi.. ni sawa na zile story za ke kuwa kubwa demu akiliwa Sana.. fata information sahihi uelewe mambo mtandaoni na mtaani uwongo ni mwingi kuliko ukweli
Dunia hii🙇Embu ikumbukwe hicho ndo kigezo kikuu walichokubaliana ili waishi wote na walikaa kavu mwaka mzima bila sex coz waliamua kuheshimu hiyo bikra
Make katika hali ya kawaida Ke alidanganya
Binafsi mshauri jamaa amuulize kwanini Ke alidanganya kama ni sababu zina mashiko anaweza endelea nae
Ila binafsi ningepiga chini
Wao wanawake huwa wana standards za wanaume wanaotaka labda awe na kibunda ana kazi nzuri n.kCc Mzee wa kupambania aine kwenye jalada.
Katika Hali ya kawaida size ni kama mdomo tu ukila unafungua ukimeza unafungaMmmh mbona akikaa muda mref hata kama kazaa inabana sana! Kwamba kuna naturally mashine kubwa? hapana. Matumizi ya mara kwa mara na kupitisha ma grader na ma skaveta.
Sawa mtaalamu ko Bikira ya maji hakun
Uwakika kama ndo kigezo kikuu chake na mwanamke alisema hivo na wakakubalianaWao wanawake huwa wana standards za wanaume wanaotaka labda awe na kibunda ana kazi nzuri n.k
Na kama haujakidhi hivyo vigezo mwanamke huwa hana huruma anakupiga chini
Ndivyo jamaa naye kaweka standard anataka mwanamke bikira afanye naye maisha
Kama sio bikira naye ampige chini malaya huyo
The game is brutal, but still fair!
haiwez kubwa kama haitumiki kiongozi ndo nachosema apa, niko wrong? Ata awe kazaa watoto 4 af akae miaka miwili inakuajeKatika Hali ya kawaida size ni kama mdomo tu ukila unafungua ukimeza unafunga
Asipoteze muda apige chini fastaUwakika kama ndo kigezo kikuu chake na mwanamke alisema hivo na wakakubaliana
APIGE CHINI MARA MOJA
Weweeee!Katika Hali ya kawaida size ni kama mdomo tu ukila unafungua ukimeza unafunga
imenitesa sana hii kutafuta bikra na watu wakijua una hyo Obsession utakula vya mbavuKama mada inavosomeka hapo juu jamaa angu ana mtu wake kwenye mahusiano huyo binti alimuamisha jamaa kwamba ni Bikira Kwa 100%, lakini alichokuja kugundua Jana baada ya Sex Hakukuta kitu(hamna dalili ya utando wa damu kutoka) kama ilivokawaida(na hiyo sex hadi kupewa amesotea mwaka Sasa)
Sasa hakutaka kumuoji sana mwenzie, alikausha kibabe.
ila amekuja kwangu kuomba ushauri juu ya hilo jambo,
Lakini mimi nachojua ni kwamba Bikira lazima damu itoke(Kwa ninavojua Mimi-kwa experience zangu mbili.) Hivo sijamjbu nimemwambia anipe muda nitamjibu.
Note: Walipanga kuishi wote Kwa kigezo hicho Cha Bikira
Swali: Kuna Bikira kavu kavu ya maji bila damu(sababu zake n zipi?!)
Kama haipo atemane nae au amwache?!
Mnisaidie majibu nimwelekeze mwananetu.
Asikudanganye!haiwez kubwa kama haitumiki kiongozi ndo nachosema apa, niko wrong? Ata awe kazaa watoto 4 af akae miaka miwili inakuaje