Naomba ushauri: Alijua ni bikira lakini alipojaribu hakukuta kitu

Naomba ushauri: Alijua ni bikira lakini alipojaribu hakukuta kitu

Embu ikumbukwe hicho ndo kigezo kikuu walichokubaliana ili waishi wote na walikaa kavu mwaka mzima bila sex coz waliamua kuheshimu hiyo bikra
Make katika hali ya kawaida Ke alidanganya

Binafsi mshauri jamaa amuulize kwanini Ke alidanganya kama ni sababu zina mashiko anaweza endelea nae
Ila binafsi ningepiga chini
Umefikiria nini kujiita Rocco Siffredi?
 
Hio ni traditional view...fuatalia mtandaoni mambo ya bikra kutoka kwenye medical websites utaelewa zaidi.. ni sawa na zile story za ke kuwa kubwa demu akiliwa Sana.. fata information sahihi uelewe mambo mtandaoni na mtaani uwongo ni mwingi kuliko ukweli
Mmmh mbona akikaa muda mref hata kama kazaa inabana sana! Kwamba kuna naturally mashine kubwa? hapana. Matumizi ya mara kwa mara na kupitisha ma grader na ma skaveta.
 
Embu ikumbukwe hicho ndo kigezo kikuu walichokubaliana ili waishi wote na walikaa kavu mwaka mzima bila sex coz waliamua kuheshimu hiyo bikra
Make katika hali ya kawaida Ke alidanganya

Binafsi mshauri jamaa amuulize kwanini Ke alidanganya kama ni sababu zina mashiko anaweza endelea nae
Ila binafsi ningepiga chini
Dunia hii🙇
 
Cc Mzee wa kupambania aine kwenye jalada.
Wao wanawake huwa wana standards za wanaume wanaotaka labda awe na kibunda ana kazi nzuri n.k

Na kama haujakidhi hivyo vigezo mwanamke huwa hana huruma anakupiga chini

Ndivyo jamaa naye kaweka standard anataka mwanamke bikira afanye naye maisha

Kama sio bikira naye ampige chini malaya huyo

The game is brutal, but still fair!
 
Mmmh mbona akikaa muda mref hata kama kazaa inabana sana! Kwamba kuna naturally mashine kubwa? hapana. Matumizi ya mara kwa mara na kupitisha ma grader na ma skaveta.
Katika Hali ya kawaida size ni kama mdomo tu ukila unafungua ukimeza unafunga
 
Sawa mtaalamu ko Bikira ya maji hakun

Wao wanawake huwa wana standards za wanaume wanaotaka labda awe na kibunda ana kazi nzuri n.k

Na kama haujakidhi hivyo vigezo mwanamke huwa hana huruma anakupiga chini

Ndivyo jamaa naye kaweka standard anataka mwanamke bikira afanye naye maisha

Kama sio bikira naye ampige chini malaya huyo

The game is brutal, but still fair!
Uwakika kama ndo kigezo kikuu chake na mwanamke alisema hivo na wakakubaliana

APIGE CHINI MARA MOJA
 
Katika Hali ya kawaida size ni kama mdomo tu ukila unafungua ukimeza unafunga
haiwez kubwa kama haitumiki kiongozi ndo nachosema apa, niko wrong? Ata awe kazaa watoto 4 af akae miaka miwili inakuaje
 
Kama mada inavosomeka hapo juu jamaa angu ana mtu wake kwenye mahusiano huyo binti alimuamisha jamaa kwamba ni Bikira Kwa 100%, lakini alichokuja kugundua Jana baada ya Sex Hakukuta kitu(hamna dalili ya utando wa damu kutoka) kama ilivokawaida(na hiyo sex hadi kupewa amesotea mwaka Sasa)

Sasa hakutaka kumuoji sana mwenzie, alikausha kibabe.

ila amekuja kwangu kuomba ushauri juu ya hilo jambo,

Lakini mimi nachojua ni kwamba Bikira lazima damu itoke(Kwa ninavojua Mimi-kwa experience zangu mbili.) Hivo sijamjbu nimemwambia anipe muda nitamjibu.

Note: Walipanga kuishi wote Kwa kigezo hicho Cha Bikira

Swali: Kuna Bikira kavu kavu ya maji bila damu(sababu zake n zipi?!)
Kama haipo atemane nae au amwache?!

Mnisaidie majibu nimwelekeze mwananetu.
imenitesa sana hii kutafuta bikra na watu wakijua una hyo Obsession utakula vya mbavu

Malaya wanao gonga bila kuzitafuta ndo wanakutana nazo
 
Back
Top Bottom