Naomba ushauri: Alijua ni bikira lakini alipojaribu hakukuta kitu

Uhak
Uhakika mm ntamwmbia Achukue hatua mwenyewe
 
Anaoa Mwanamke Au Bikra, Zingine zinatolewagwa na Baiskeli Wakiendesha, Kufanya mazoezi Magumu, Acha Hizo Pata Jiko alafu huyo demu Kakuzuga tu alikuwa Anampa mtu mwingine kwa mwaka mzima kamuona hana Future akaamua akupe wewe, STUKAA
 
Huyo jamaa unayemwita mwanetu ni kichaa... Dunia ya leo anatafuta kuoa mwanamke bikra?? amekosa kabisa kuzingatia vigezo vingine vya msingi? Huyo ni mushamba muraa,
 
Bikra ni ujinga tu ukiendekeza,nilitoboa mara mbili nikaona ni upuuzi tu.
Kula shimo tu bwawa la hombolo sawa,pango la amboni twende kazi.
Mapenzi mpende mamaako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…