- Thread starter
- #21
Jaman af tuwe serious katika kutoa comments, kama kitu unajua toa maoni yako kwa uzoefu au kwa kusikia ila masihara yakiwa mengi mnayumbisha ... !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie hao malena...Jaman af tuwe serious katika kutoa comments, kama kitu unajua toa maoni yako kwa uzoefu au kwa kusikia ila masihara yakiwa mengi mnayumbisha ... !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha haKwanza likatie bima comprehensive kisha angalia kama tyres ziko vizuri ifanyie services na kuangalia kama ina tatizo lolote urekebishe pia ukiona toto nzuri zimekaa stendi unasimama unawaita kuwapa lift ili kubariki gari
Mkuu utamiliki tu, gari si anasa ni basic na bei zake kwa sasa hazitishi,utofauti ni unamiliki gari ya aina gani,kuanzia mil 3+ unanunua used tz ni wewe tu.Huu uzi hautuhusu sisi ambao hatuna magari...[emoji17]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Lile gari lako lipo wapi??Huu uzi hautuhusu sisi ambao hatuna magari...[emoji17]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mkuu, ebu nitafute kama hii..[emoji30][emoji30]Mkuu utamiliki tu, gari si anasa ni basic na bei zake kwa sasa hazitishi,utofauti ni unamiliki gari ya aina gani,kuanzia mil 3+ unanunua used tz ni wewe tu.
Lipo mkuu...[emoji39] [emoji39]
ha ha ha ha zinazoning'inia huko chini ni nini?Mkuu, ebu nitafute kama hii..[emoji30][emoji30]View attachment 1050184
Shika adabu yako na uishikilie tafadhali..[emoji53] [emoji53]ha ha ha ha zinazoning'inia huko chini ni nini?
ha ha ha ha haShika adabu yako na uishikilie tafadhali..[emoji53] [emoji53]
[emoji12] [emoji12]ha ha ha ha ha
unakagua mnyororo kwanza usiwe over sizeMkimaliza kumueleza Jamaa,mrudi kwangu hapa nikitaka kununua baskeli nizingatie vitu gani....
Post lile gar lako lenye kende bossHuu uzi hautuhusu sisi ambao hatuna magari...[emoji17]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Naomba kuwasilisha.....[emoji53]
unakagua mnyororo kwanza usiwe over size
Nilishaanza kutype jinsi ya ku break the engine, ndio nikagundua kumbe unamaanisha gari used. Na sio gari jipyaHabari ndugu zangu, naomba ushauri kwa vitu vya kuzingatia unaponunua gari mpya kwa mara ya kwanza, yaani umeenda kununua showroom au umeagizia kutoka Japan na ndo limefika. Nini cha kuzingatia kabla na baada ya kukabidhiwa gari??
Sent using Jamii Forums mobile app
Bhana wee, nani wa kununua 0km, labda serikali tu ... !!Nilishaanza kutype jinsi ya ku break the engine, ndio nikagundua kumbe unamaanisha gari used. Na sio gari jipya
Anunue na kondom za akiba manake mademu wote waliokua wanamzingua atawatafuna saizi manake wanajileta wenyeweKwanza likatie bima comprehensive kisha angalia kama tyres ziko vizuri ifanyie services na kuangalia kama ina tatizo lolote urekebishe pia ukiona toto nzuri zimekaa stendi unasimama unawaita kuwapa lift ili kubariki gari