Naomba Ushauri: Brand ya Subwoofer nzuri ni ipi? Nina bajeti ya 200,000/=

Naomba Ushauri: Brand ya Subwoofer nzuri ni ipi? Nina bajeti ya 200,000/=

Acha uchawi mzee yaani home theater ya 500 watts isiwe na mziki mnene? Ww ulishawahi kuona subwoofer ya kichina ikafika hata 200 RMS watts?? Maana mm nimeina kubwa ina watts 180

Na namuhakikishia jamaa kama anapesa anunue home theater Tz140 yenye 300 watts hatojuta inapiga mziki balaaa pia amekuwa amepata na deki pia anaweza access contents za USB pia anakuwa ameenda na wakati kwa kutumia vitu classic.

Na kama jamaa atakuwa anapenda entertainment basi ata enjoy pure surround ya 5.1 DTS au Dolby muvies kitu ambacho ni kitamu sana kupindukia ambacho watu wengi hawajuagi
Hamna uchawi hapa mzee, ishu kubwa ni bei yake aliyotaja. Unataka kuniambia home theater ya laki mbili ni kali? Kampuni gani hiyo? Ni bora kununua subwoofer tu. Ila kama mtu ana pesa, home theater yenye 1000W ndo kila kitu. Au labda unataka anunue vitu used.
 
naomba ushauri nataka ninunue gari ndogo inayotumia mafuta kidogo nimependelea toyota brand ...kati ya vitz,starlet na probox ipi inafaa zaidi
 
SUB WOOFER ni sehemu ya mziki

Woofer(Hometheatre) ndio mziki kamili uliopangiliwa na kukufanya usikie mziki uliochakatwa

Kwa uelewa wangu mimi niliyekimbia shule kwa sababu ya kuchelewa namba
Kama ntakosea naweza kusahihishwa... Home theater ni kwa ajiri ya movies kutokana na effects sounds zilivyopangiliwa. Subwoofer ni kwa ajiri ya muziki (audio), movie kwenye subwoofer haina vionjo sawa na home theater.
 
Upo sahihi mkuu.
Kama ntakosea naweza kusahihishwa... Home theater ni kwa ajiri ya movies kutokana na effects sounds zilivyopangiliwa. Subwoofer ni kwa ajiri ya muziki (audio), movie kwenye subwoofer haina vionjo sawa na home theater.
 
Chukua hii kitu inakita mziki hatari sana
Screenshot_20200727-192302_Instagram.jpg
 
Tafuta hii kitu, JBL by HARMAN. 2.1 Sound bar, 300W. Zipo pia za Sony, LG, Samsung na Hisense.
14-44-14-images.jpg
 
Kwa bajeti yako nunua Seapiano Sp 1002 au Sp 661 mkuu.
Ya kwanza apo kwe picha n Sp 661 na ya pili n Sp 1002.
utaenjoy mziki unaoendana na thaman ya pesa yako. Mara nying znauzwa kati ya 160 hadi 180

Ila kama unaeza jikongoja ufike kwenye 400 tafuta hometheatre za LG or Sony upate mziki mzur zaid.View attachment 1971178
146705_img-20200307-175235_620x434.jpg
 
Sea piano SP-661-2.1 Original ina Mziki mkubwa sana bado mpya nakupa na box lake kwa 150,000 tu..Haina shida yoyote.
Mob 0621 523916
nipo makongo Dsm
20211012_112815.jpg
 

Attachments

  • 20211012_112723.jpg
    20211012_112723.jpg
    55.7 KB · Views: 100
Sea piano SP-661-2.1 Original ina Mziki mkubwa sana bado mpya nakupa na box lake kwa 150,000 tu..Haina shida yoyote.
Mob 0621 523916
nipo makongo DsmView attachment 1971839
Hii subwoofer inafanana kila KITU na toleo Lao hili kasoro hapo mbele Tu kidogo Ila amplifier yake na mengne yote ni Sawa na hii ModeL SP 8800 wahuni Sana hawa wachina wanabadili housing Tu na show.
 
Back
Top Bottom