Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Kwani weww umeambiwa hapo kwake hana shughuli nyingine za mikono zinazompa mazoezi..?Mstaafu gari ya nini? Atafanyaje mazoezi ya kutembea? Au atojoin na gym pia?
Mkuu kwa maelezo yako nafikiri Rav4 (first generation) au Noah Liteace zote ziwe 4WD zitafaa zaidi kwa bi mkubwa kwani kazi za shamba zinafaa, ukizipeleka kijiweni unapata wateja na pia ukitaka kuuza hupati taabu....gari hizi mbili engine zake zinafanana na kuingiliana .. 3S-FE SR40 au 50 na mara nyingi ukubwa wa CC ni 2000 (1998)
Asante kwa ushauri mkuu.Noah road tourer itamfaa,ni noah bora kuliko zote,ngum na haiharibik,ni zile noah za kwanza kwanza,asinunue noah tofaut na hyo ,nyingne ni mbovu...ni chache hata yard huwez ikuta inabid utafte sana sabab zinagombewa,bei ni 13-15mil..,..1790cc
Itamfaa sabab haitamfilisi,atabeba nyumba nzima had mbuz akitaka,sabab ni kubwa
Huyu alitakiwa kupata SpacioMama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.
Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)
Nissan xtrail.
Hizi sidhani kama kuna makampuni ya Japan yanayouza used cars ambayo bado wanazo,labda kama atanunua ya mkononi ambayo obvious itakuwa imechoka sana...Nunua hii
Kama ni hivi mkuu basi old model rav 4 inatosha usihadaike tenaYupo mji mdogo, matumizi yake ni kwenda sokoni, kanisani n.k labda ikitokea na safari ndefu ya kwenda kwao na familia kilometers kama 700 hivi.
Hii ndyo JF,watu wanakushauri vzr sana hadi raha!Bi Mkubwa anataka gari akiwa ni mstaafu je ataishi mjini au shamba? je atakuwa anasafiri nayo mbali au atapigia misele town? je baada ya kustaafu atategemea pensheni tu au atakuwa na njia zingine za kuongeza kipato? je ana familia ya ukubwa gani? lakini kwa mie vyovyote iwavyo "TOYOTA" inabaki kuwa bora number moja hasa Rav4, Noah Liteace (sio Voxy kimeo), Raum, Starlet, IST, Allex, Fielder, Runx na zinginezo zote familia ya Corolla kwani hatajutia matumizi ya mafuta, upatikanaji wa spare, Bei rahisi kwa vipuri na hata mafundi wa gari hizo ni wengi hivyo hawezi kukwama porini
Nimecheka "hadi mbuzi"Noah road tourer itamfaa,ni noah bora kuliko zote,ngum na haiharibik,ni zile noah za kwanza kwanza,asinunue noah tofaut na hyo ,nyingne ni mbovu...ni chache hata yard huwez ikuta inabid utafte sana sabab zinagombewa,bei ni 13-15mil..,..1790cc
Itamfaa sabab haitamfilisi,atabeba nyumba nzima had mbuz akitaka,sabab ni kubwa
Mkuu kuna uzi wa uchambuzi wa biashara ya uber uliwahi kufanya kipindi cha nyuma. Kuna updatesHatujajua Mazingira aliyopo ni Town au Bush na Matumizi yake sana sana ila naunga mkono Rav 4
Aise brother una dharau wewe ...YANI HAPO MWALIM GAR YA 18M NA SIO YA BIASHARA? WASTAAFU BWANA.
KAMA YA KUTEMBELEA TU
MTAFUTIE TOYOTA SPACIO XG EDITION, 1NZ ENGINE NDIO ITAMFAA MAFUTA NA SPEA BEI RAHISI. BUDGET KAMA MILION 11 AKIENDA YARD.
KAMA ATAAMUA KUFUGA KUKU NA SHUGHULI ZINGINE ATAFUTE PICKUP KIRIKUU
HAYA MAGARI YA STAREHE HAYAONGEZ KIPATO LABDA IWE UBAR.
Naunga mkono hoja.Noah road tourer itamfaa,ni noah bora kuliko zote,ngum na haiharibik,ni zile noah za kwanza kwanza,asinunue noah tofaut na hyo ,nyingne ni mbovu...ni chache hata yard huwez ikuta inabid utafte sana sabab zinagombewa,bei ni 13-15mil..,..1790cc
Itamfaa sabab haitamfilisi,atabeba nyumba nzima had mbuz akitaka,sabab ni kubwa
YANI HAPO MWALIM GAR YA 18M NA SIO YA BIASHARA? WASTAAFU BWANA.
KAMA YA KUTEMBELEA TU
MTAFUTIE TOYOTA SPACIO XG EDITION, 1NZ ENGINE NDIO ITAMFAA MAFUTA NA SPEA BEI RAHISI. BUDGET KAMA MILION 11 AKIENDA YARD.
KAMA ATAAMUA KUFUGA KUKU NA SHUGHULI ZINGINE ATAFUTE PICKUP KIRIKUU
HAYA MAGARI YA STAREHE HAYAONGEZ KIPATO LABDA IWE UBAR.