The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Wakuu, naombeni ushauri wa kitaalamu, mpenzi wangu alijifungua mwezi Januari mwaka huu.
Mwezi wa 4 katikati akaomba game kwani ameimisi muda mrefu(hatuishi pamoja).
Ajabu mwezi huu hajaona siku zake na ameenda kupima amekutwa na mimba tayari.
Naombeni ushauri, je hii mimba anaweza kuibeba na huku ananyonyesha na akawa salama kiafya?
Naomba kujua madhara ya hii hali.
Ahsanteni sana.
Mwezi wa 4 katikati akaomba game kwani ameimisi muda mrefu(hatuishi pamoja).
Ajabu mwezi huu hajaona siku zake na ameenda kupima amekutwa na mimba tayari.
Naombeni ushauri, je hii mimba anaweza kuibeba na huku ananyonyesha na akawa salama kiafya?
Naomba kujua madhara ya hii hali.
Ahsanteni sana.